Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

I either came to watch them lately after being well familiar with Universal laws and I was like very shocked to see a lot of Scientists, Medical Specialists, philosopher, Authors, Successful people and so many others share the knowledge and testimonies regarding these Laws.

I hope you’ll enjoy and learn a lot watching those two videos.
Especially the 1st in the list “The Secret “
Hii video ya the secret ninayo...ndo video iliyonifungua akili kuhusu our reality.

Ndo apo nikaja kujua kwann Mungu asilimia 90 ya milango ya fahamu kaiweka kichwani...

We're only the one who creat our reality...
 
Mkuu kuna rumors ya kwamba unadukuwa account za watu na kuedit comment zao...embu tuambie ktk law of attraction unatumia laws ipi..??
 
Mkuu kuna rumors ya kwamba unadukuwa account za watu na kuedit comment zao...embu tuambie ktk law of attraction unatumia laws ipi..??
Hahaa mkuu acha zako bwana..hayo yashakwisha
 
Bro
"Same applied kwa sisi tuifatayo Nuru kama una upako wako/roho mtakatifu rohoni mwako ukianza tu kujikita kutafuta mali basi ule uwezo wako unaanza kuupoteza maana unakua umewekeza nguvu zaidi katika kutafuta mali za mwili na sio mali za roho yako. Kwa kulizingatia hilo ndio maana watawa wa kikatoliki hua hawajishikizi katika materials kama vile pesa,majumba,watoto,mke nk maana wanajua wakiruhusu hiyo itokee basi hakutakua kuna Integrity ya utume wao maana huwezi tumikia mabwana wawili"

1.Wewe uifatayo Nuru upako wako huwa unautuma kwa kazi zipi? Huwa unakusaidiaje?
Huwa unajuaje upako wako umepoteza maana?

2.Watawa wa kikatoliki huwa wanahudumiwa kila kitu na kanisa, ni mmojawapo ya kundi la watu wenye maisha mazuri sana yasiyo na shurba nyingi katika dunia hii.
Pia watoto, mke na mume sio mali, hao ni watu.Hawawezi kuwa daraja moja na mali.
naona umeamua kutengeneza ubishi usio na tija
Kama unashindwa kuelewa kuwa mke na watoto wako ni sehemu ya mali yako aupaswai kuendelea kubishana
 
Mkuu watu wengi sana they’re not acquainted with the “The Laws Governing the Universe”.
Hence they can’t live in harmony with them and get the most of whatever they do.
How can I get acquainted with laws of nature? I need such state
 
Kwa mfano,nakumbumbuka mwaka furani,kijana mmoja mfanyabiashara wa kuku,akiwa anatokea kijiji cha bukamba,alipofika bukiligulu alikutana na mzee halawa kabiga,wakasalimiana,mzee akamuuliza kijana unaenda wapi?, kijana akajibu ninaenda kuzungu kwenye gulio kkusanya kuku,mzee akamwambia mbona naona kama nyumbani kwako kuna mgonjwa?, kijana akajibu hapana nyumbani woote ni wazima kbs,na nimewaacha shambani wanalima,mzee mwana kabiga akamwambia yule kijana kuwa rudi nyumbani kuna mgonjwa,na ukifika angalia mti iliyokaribu na kwako utakuta nyuki juu ya mti,kata majani ya huo mti,pondaponda umnyweshe mgonjwa atapona,kijana akakubali,lkn yule mzee baada ya kuondoka yule kijana akageuza kwenda gulioni,alifika akaanza kununua kuku,akalala kizungu,kesho yake akaamkia kwenda kwenye gulio lingine lyabukande,kwenye mda wa saa tatu hivi akaona kijana anatokea kijiji chao,akasema nimekutafuta sn,twende nyumbani mke wako ni mgonjwa mno,wakaondoka kwenda kufika akakuta watu wamekusanyikana,mkewe kafariki dunia,kkt mzunguka wa kuzika,akaona mti furani juu yake kuna nyuki,na Ile mti upo zizini,,kwa hiyo waganga wapo,wachawi wapo,na watabili pia wapo,na watabili wana mambo ya kiroho zaidi,
Uko sahihi Sana Mkuu, hata kwenye vitabu vitakatifu wameelezwa hawa watu. Biblia inatumia neno Waonaji. spiritual seer"

Jamii zinawadharau, lakini wanaplay vital role Sana.
Mfalme Sauli alipotingwa alienda kwa mwonaji na alimsaidia Sana kuongea na Nabii Samweli. Binafsi nawaheshimu Sana. Kwenye janga la corona walitusaidia pia.
 
Uko sahihi Sana Mkuu, hata kwenye vitabu vitakatifu wameelezwa hawa watu. Biblia inatumia neno Waonaji. spiritual seer"

Jamii zinawadharau, lakini wanaplay vital role Sana.
Mfalme Sauli alipotingwa alienda kwa mwonaji na alimsaidia Sana kuongea na Nabii Samweli. Binafsi nawaheshimu Sana. Kwenye janga la corona walitusaidia pia.
Sauli alipoenda kuwaona hao watu lilikua kosa kubwa la kiufundi...ndio lilipelekea akanyanganywa Ufalme.
Unaheshimu wapiga ramli na wasoma alama ambapo ni jambo baya machoni kwa Muumba. Mungu alitumia manabii tu sio watu hao waonaji
 
Acupuncture is a complementary medical practice that entails stimulating certain points on the body, most often with a needle penetrating the skin, to alleviate pain or to help treat various health conditions.


Developed millennia ago in China, numerous recent studies conducted by scientists in Europe and the United States have found that acupuncture is at least moderately effective in treating pain and nausea.

For example, one of the largest studies to date on acupuncture and chronic pain a meta-analysis of 29 well-conducted studies involving nearly 18,000 patients and published in October 2012 in the Archives of Internal Medicine found that acupuncture is effective for treating chronic pain and therefore is a reasonable referral option. The doctors wrote that "significant differences between true and sham acupuncture indicate that acupuncture is more than a placebo" but added that "these differences are relatively modest
 
Hii video ya the secret ninayo...ndo video iliyonifungua akili kuhusu our reality.

Ndo apo nikaja kujua kwann Mungu asilimia 90 ya milango ya fahamu kaiweka kichwani...

We're only the one who creat our reality...
Kichwani ndipo alipo wewe yaani Mind
 
uko sahihi kwa mtazamo wako au kichwa chako kigumu kuelewa swali
Lakini kwanini inapijuha suala la pesa/mali mtu yupo tayari kufanya lolote ili kupata mali hizo bila kujali madhara yatakayowapata wengine
 
Mkuu anzia hapa kwenye mada hii inaweza ongeza vitu kwenye lile swali lako
Asante mkuu nimepata vitu vingi, nimewahi kusoma law of attraction kidogo naona vinaendana na ulivyoandika hasa hapo kwenye uponyaji pia kwenye kutoa Sadaka nimeprove yaani it works like a charm kwasababu ndo sehemu pekee Mungu ameruhusu tumjaribu na Mungu huwa anatimiza ahadi zake.
 
Back
Top Bottom