Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Asante mkuu nimepata vitu vingi, nimewahi kusoma law of attraction kidogo naona vinaendana na ulivyoandika hasa hapo kwenye uponyaji pia kwenye kutoa Sadaka nimeprove yaani it works like a charm kwasababu ndo sehemu pekee Mungu ameruhusu tumjaribu na Mungu huwa anatimiza ahadi zake.
Mkuu kila kitu tunachofanya au kuwaza kina athari katika ulimwengu wa kiroho na Kimwili. Since thought shape reality inabidi ucontrol mawazo na matendo yako ili yasije kukuletea matokeo hasi katika maisha yako.
Questions??
 
Mkuu kila kitu tunachofanya au kuwaza kina athari katika ulimwengu wa kiroho na Kimwili. Since thought shape reality inabidi ucontrol mawazo na matendo yako ili yasije kukuletea matokeo hasi katika maisha yako.
Questions??
Kwa leo hapana umeeleweka vzuri but I won't hesitate to ask Kama ikitokea since wewe sasahivi ni mwlm wangu hope you'll be there anytime
 
Yes I'm here.. anytime ukitaka kuuliza just hit the Qns. Will gladly answer you
Thank you a lot [emoji120][emoji120]
 
Hakuna laana ya kuzaliwa. Kama ushajua laana ni kitu kibaya, kwanini unajipamba na vazi baya ?
Vazi gani hilo baya nililojipamba nalo??
Laana huja baada ya mtu au watu kuasi kwa kudhulumu nafsi zao au nafsi za wenzao au kuleta kiburi na uasi kwa Mola muumba.
Ni kweli kabisa mkuu
Laana huwa ni matamshi yatokayo kwa mja au Mola na humdhuru yule mwenyewe kukusudiwa.
Yanaweza kutoka kwa mzazi pia.
Kadhalika si kila laana humpata toka kwa mtu aliyemkusudia mwenzie, endapo laana hiyo ikitolewa kwa dhulma basi haitomdhuru yule mdhulumiwa bali hurudi kwa yule aliyedhulumu.
Sijawahi kusikia mtuu kalaanika kwa kumlaani mtu ikamrudia.. It might be possible I'll do my research.
Lakini kwwtu Wakristo tumekatazwa kulaani..Tumeagizwa kusamehe na kuwapenda wale waliotuudhi kwa moyo wa dhati. Laana na baraka anatoa Mungu pekee....Sambaza baraka sio utoe Laana.
Maana sahali na nyepesi ya Laani ni mja kutoka nje ya rehma (huruma) za Mola muumba. Ndiyo maana tunaposema Shetani amelaaniwa, basi ametoka katika huruma ya Mola mlezi na makazi yake ni motoni milele.
Kwa ufupi hayo ni machache kuhusu laana.
Mungu ni mwingi wa rehema na huruma hata akikulaani ukimrudia atakutakasa. Kwa upande mmoja nakubaliana nawe.

👉Nimejipanga kudebate nawe leo.😅
 
Yanaweza kutoka kwa mzazi pia.
Ndiyo maana nikasema mja. Kwenye wanaingia binadamu wote.
Vazi gani hilo baya nililojipamba nalo??
Vazi la kufanya ulaaniwe.
Lakini kwwtu Wakristo tumekatazwa kulaani..Tumeagizwa kusamehe na kuwapenda wale waliotuudhi kwa moyo wa dhati. Laana na baraka anatoa Mungu pekee....Sambaza baraka sio utoe Laana.
Tunatofautiana mafundisho, ila akili salama na uhalisia uhukumu.

Kulaani si jambo zuri, ila hukatazwi kulaani pale unapo stahiki kulaani.

Kadhalika kusamehe kupo,ila kamwe siwezi kumpenda mtu muovu na siwezi kumpenda mtu anayewatukana Vipenzi vyangu (Mola wangu, Mtume wetu, maswahaba zake,waje wema na anaeitukana Dini yangu kwa dhulma na uadui ).

Baraka anatoa Mola muumba, ila Mola wetu amejaalia pia waja wake watoe laana na anazikubali laana zile za haki.
Mungu ni mwingi wa rehema na huruma hata akikulaani ukimrudia atakutakasa. Kwa upande mmoja nakubaliana nawe.
Laana zasamehewa zipo ila laana ya Shetani aliyoaaniwa ni ya milele.

Usipange ku debate na mimi, sababu kuna uwezekano mkubwa sana ukawa unakosea mno, na ukakataa kukosolewa. Kadhalika kudebate hovyo si katika tabia njema.
 
Ndiyo maana nikasema mja. Kwenye wanaingia binadamu wote.
Ahsante kunirekebisha
Vazi la kufanya ulaaniwe.
Ni lipi??
Tunatofautiana mafundisho, ila akili salama na uhalisia uhukumu.
Kulaani si jambo zuri, ila hukatazwi kulaani pale unapo stahiki kulaani.
Imani yangu hairuhsu kulaani..laana ni hukumu nasi wanadamu haturuhusiw kuhukumu.
Tunaaswa kutakiana mema tu
Kadhalika kusamehe kupo,ila kamwe siwezi kumpenda mtu muovu na siwezi kumpenda mtu anayewatukana Vipenzi vyangu (Mola wangu, Mtume wetu, maswahaba zake,waje wema na anaeitukana Dini yangu kwa dhulma na uadui )
Usiwapenda wanaokuudhi na kukuchukiza ukawapenda wanaofanya yakupendazayo utapata swawabu gani??? Je Mungu anawapenda wale tu wanaomuabudu??
Baraka anatoa Mola muumba, ila Mola wetu amejaalia pia waja wake watoe laana na anazikubali laana zile za haki.
No. Sisi tunaaswa kutakiana mema..tunaombeana Baraka. Ila baraka zatoka kwa mola.
Laana zasamehewa zipo ila laana ya Shetani aliyoaaniwa ni ya milele.
Ndio. Laana ya shetani ilikua yasameheka ila baada ya Yesu kufa usiku wa leo ndio ilikua mwisho wa Msamaha kwake.
Usipange ku debate na mimi, sababu kuna uwezekano mkubwa sana ukawa unakosea mno, na ukakataa kukosolewa. Kadhalika kudebate hovyo si katika tabia njema.
Sidebate hovyo, katika kudebate kunakukosolewa na nitakubaliana nawe pale inapopaswa
 
Imani yangu hairuhsu kulaani..laana ni hukumu nasi wanadamu haturuhusiw kuhukumu.
Tunaaswa kutakiana mema tu
Laana si hukumu, ni kama aina ya maombi ambayo Mola huyakubali kwa yule anayestahiki hilo.

Suala la kutakiana mema ni lingine, lakini na la kulaani liko.

Kwa maana nyingine Imani yako unatakiwa uihakiki. Sababu inapingana na uhalisia na akili iliyo salimika.
Ni lipi??

Hili swali nimeshalijibu, lakini nashangaa kwanini unalirudia tena.
Usiwapenda wanaokuudhi na kukuchukiza ukawapenda wanaofanya yakupendazayo utapata swawabu gani??? Je Mungu anawapenda wale tu wanaomuabudu??
Mola anawapenda wale wanaofanya mema na kumtii yeye. Kuna tofauti kati ya upendo na kuwalea waja, Moa wetu alishajihukumia yeye ya kuwa anawalea waja wake wote waovu na wema na anawapa rizki na muhula. Lakini anawapenda waja wake wanao mtii.

Mimi nawapenda waja wema na kuwapenda wao ni katika wema. Siwapendi wale wanaofanya yanayonipendeza mimi, kwani yapo yanayonipendeza lakini si katika mazuri.
No. Sisi tunaaswa kutakiana mema..tunaombeana Baraka. Ila baraka zatoka kwa mola.
Kama hivyo ndivyo, basi rekebisha ulichokiandika hapo juu.
Ndio. Laana ya shetani ilikua yasameheka ila baada ya Yesu kufa usiku wa leo ndio ilikua mwisho wa Msamaha kwake.
Kuna uhusiano gani kati ya msamaha wa Shetani na kifo cha Yesu ? Naomba ushahidi wa kimaandiko juu ya hiki ulichokiandika.

Je kweli Yesu amekufa leo ?
Sidebate hovyo, katika kudebate kunakukosolewa na nitakubaliana nawe pale inapopaswa
Kahyr, tuendelee.
 
Laana si hukumu, ni kama aina ya maombi ambayo Mola huyakubali kwa yule anayestahiki hilo.
Mafundisho yangu yananikataza kulaani bali kutoa baraka tu. Kazi hiyo ni ya Muumba sio yangu
Suala la kutakiana mema ni lingine, lakini na la kulaani liko.

Kwa maana nyingine Imani yako unatakiwa uihakiki. Sababu inapingana na uhalisia na akili iliyo salimika.
Niihakiki vipi?? Uhalisia wa akili salimika ni upi?? Akili salimika ni nini??
Hili swali nimeshalijibu, lakini nashangaa kwanini unalirudia tena.
Maybe I didn't noticed it. Sorry for bothering you
Mola anawapenda wale wanaofanya mema na kumtii yeye.
Ni kweli kabisa
Kuna tofauti kati ya upendo na kuwalea waja, Moa wetu alishajihukumia yeye ya kuwa anawalea waja wake wote waovu na wema na anawapa rizki na muhula. Lakini anawapenda waja wake wanao mtii.
Mungu anawapenda wanadamu wote waovu kwa wema.. ndio maana mtu mwovu akirudi kundini mbingu na malaiki wanashangilia. Huwezi kulea kiyu usichokipenda. Mungu anatupenda wote na anatuasa tupendane wote bila kujali mtu fulani ni mwovu au sio mwovu maana kazi hiyo ni ya Muumba pekee
Mimi nawapenda waja wema na kuwapenda wao ni katika wema. Siwapendi wale wanaofanya yanayonipendeza mimi, kwani yapo yanayonipendeza lakini si katika mazuri.
Huwezi kumtendea mema mtu anayetebda kinyume na Allah wako??
Kama hivyo ndivyo, basi rekebisha ulichokiandika hapo juu.

Kuna uhusiano gani kati ya msamaha wa Shetani na kifo cha Yesu ? Naomba ushahidi wa kimaandiko juu ya hiki ulichokiandika.
Tunafundishwa kua baada ya Yesu kufa msalabani wokovu ulipatikana na ndio kilikua kikomo cha mwisho kwa shetani kutubu. Alipewa nafasi nyingi lakini kwa kiburi chake hakufanya hivo
Je kweli Yesu amekufa leo ?

Kahyr, tuendelee.
Hapana hakufa leo..ila leo tunaadhimisha kifo na ufufuko wake.
 
Mafundisho yangu yananikataza kulaani bali kutoa baraka tu. Kazi hiyo ni ya Muumba sio yangu
Naomba unionyeshe ukweli wa hiki ulichokiandika.

Baraka anatoa Mola.
Niihakiki vipi?? Uhalisia wa akili salimika ni upi?? Akili salimika ni nini??
Kujua ukweki juu ya imani yako. Akili iliyo salama iko kinyume na ukichokoandika.
 
Mungu anawapenda wanadamu wote waovu kwa wema.. ndio maana mtu mwovu akirudi kundini mbingu na malaiki wanashangilia. Huwezi kulea kiyu usichokipenda. Mungu anatupenda wote na anatuasa tupendane wote bila kujali mtu fulani ni mwovu au sio mwovu maana kazi hiyo ni ya Muumba pekee
Hii si kweli. Unalo andiko lolote linasema ya kuaa Mola anatupenda wote ...?
Huwezi kumtendea mema mtu anayetebda kinyume na Allah wako??
Naweza kumtendea Ila siwezi kumpenda.
 
Hii si kweli. Unalo andiko lolote linasema ya kuaa Mola anatupenda wote ...?
Tito 3:2
[2]wasimtukane mtu ye yote, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakionyesha upole wote kwa watu wote.
Naweza kumtendea Ila siwezi kumpenda.
Luka 6:31-35
[31]Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.
[32]Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
[33]Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
[34]Na mkiwakopesha watu huku mkitumaini kupata kitu kwao, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, ili warudishiwe vile vile.
[35]Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.
 
Nimekuomba andiko linalo onyesha ya kuwa Mola anatupenda wote mpaka watu waovu.
Mathayo 5:43-46
[43]Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
[44]lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
[45]ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
[46]Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
 
maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Haya si mapenzi bali hili nilikigusia huko awali ya kuwa Allah anawalea wote wema na waovu, haya ni malezi ila hawapendi waja waovu.
 
Haya si mapenzi bali hili nilikigusia huko awali ya kuwa Allah anawalea wote wema na waovu, haya ni malezi ila hawapendi waja waovu.
Labda mimi nashindwa kupata concept yako. Kwamba hawapendi??? Lakini mbona bado anawabariki...mbona anazidi kufanya kila njia ili warudi kwake?
 
Back
Top Bottom