Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Kinachowezesha wachawi kupaa ni majini kuhusu huku kwa Mungu sijafanya tafiti kama kupaa kupo.
Nimetolea mfano tu mkuu kama watu kwa kutumia nguvu za giza wanaweza kupaa one place to another je kwa kutumia nguvu za Kimungu pia hili halitawezekana pia??

Kuna baadhi ya watumishi wa Mungu walikua wanauwezo wa kufaya Bilocation
Bilocation ni uwezo wa mtu kuwa sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja.
Hii usiichanganche na omnipresent, yaani uwezo wa kuwa kila mahali kwa wakati mmoja anao Mungu tu

Baadhi ya watu waliokua na uwezo wa kua sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja ni Mtakatifu Anthony wa padua, Fransis Xaver, Padri Pio nk
 
UNA AKILI SANA MKUU NA SINA SHAKA NA UELEWA WAKO.
Thanks for Appreciation mate🙏
LAKINI NAKUAMBIA KWA HERUFI KUBWA HUJUI CHOCHOTE KUHUSU UGANGA NA MAMBO YA MIUJIZA. HATA SERIKALI WALIPOKATAA KUAMINI HIZO KITU WALIJUA NAMNA ZA KUZIWAKILISHA NA KUZIELEZEA NI NGUMU SANA. TUNZENI DEGREE ZENU VITU VINGINE WAACHIENI WENGINE. HUWEZI KUJUA KILA KITU.
Ningependa ushee hayo unayoyajua mkuu ili nasi tujifunze. Kukosoa tu bila kuelimisha sidhani kama utakua umetoa suluhisho
 
Mkuu da 'vinci.ili uwe mganga wa jadi sio wa kienyeji,kuna kitu kinaitwa mzimu au mizimu. Hawa ni watu walioishi zamani katika jamii fulani na walikufa wakiwa wema sana kwa jamii yao. Kumbuka sio kila anaekufa anaitwa mzimu. Lakini walikuwa na uwezo au nguvu fulani ambazo walizipokea tangu vizazi ambazo ziliwafanya kuwa na nguvu sana za kiroho. Nguvu hizi ziliweza kuwafanya kutatua matatizo na changamoto mbali mbali zilizoikabili jamii kwa wakati huo. Ila nguvu hizi zikitumika vibaya zilikuwa na matokeo mabaya sana. SASA HAPA NDIPO ZIKITUMIKA VIBAYA ZINAITWA UCHAWI. ukisikia mganga wa jadi maana yake ni mganga wa mizimu aliyerithi vitu hivi vya toka enzi na enzi. Zina miiko yake kama kutokuwa na tamaa hasa ya ngono, rushwa za kichawi, hazitaki zinaa, hazitaki hasira za kitoto na mwenye nazo hutatua matatizo kwa hekima kubwa kuliko umri alionao ilimradi anayo mizimu. Kila kitu huelekezwa kupititia ndoto na maono mbali mbali.ukiwa hivyo unaweza kumnyooshea mtu kidole na akapoteza maisha wazi wazi. MOJAWAPO YA WATU WALIKUWA NA NGUVU HIZI ZA MIZIMU NI MTWA MKWAWA, NA ONG'WANANG'WALUNDI. HUwezi kuwazidi watu hawa bila kuwazunguka au kupewa siri waliyonayo na huwa ni mwiko siri zao kujulikana. Njia bora ya kuwajua au kuwaibia au kuharibu karama zao ni kutumia njia ya kuiba kivuli kutumia uke mwanamke au njia ya haja kubwa . au kuwatilia ndumba na sumu kwenye chakula au maji. Mke au mume ndo mtu rahisi kabisa kuwamaliza hawa watu. Ila HUwezi labda wamekiuka miiko dhidi ya utu. Itaendelea
 
Mkuu da 'vinci.ili uwe mganga wa jadi sio wa kienyeji,kuna kitu kinaitwa mzimu au mizimu. Hawa ni watu walioishi zamani katika jamii fulani na walikufa wakiwa wema sana kwa jamii yao. Kumbuka sio kila anaekufa anaitwa mzimu.
Kuna utofauti kati ya Mganga wa kienyeji na wa jadi?? Kidogo hapa lugha inanipiga chenga. Msaada please
Lakini walikuwa na uwezo au nguvu fulani ambazo walizipokea tangu vizazi ambazo ziliwafanya kuwa na nguvu sana za kiroho. Nguvu hizi ziliweza kuwafanya kutatua matatizo na changamoto mbali mbali zilizoikabili jamii kwa wakati huo. Ila nguvu hizi zikitumika vibaya zilikuwa na matokeo mabaya sana.
Mara nyingi hizo nguvu hua zinatoka kwa sheatani mwenyewe...
SASA HAPA NDIPO ZIKITUMIKA VIBAYA ZINAITWA UCHAWI.
Naam uchawi na uganga huo wa mizimu chimbuko lake ni huko kwa Shetani mwenyewe au unasemaje?
ukisikia mganga wa jadi maana yake ni mganga wa mizimu aliyerithi vitu hivi vya toka enzi na enzi. Zina miiko yake kama kutokuwa na tamaa hasa ya ngono, rushwa za kichawi, hazitaki zinaa, hazitaki hasira za kitoto na mwenye nazo hutatua matatizo kwa hekima kubwa kuliko umri alionao ilimradi anayo mizimu. Kila kitu huelekezwa kupititia ndoto na maono mbali mbali.ukiwa hivyo unaweza kumnyooshea mtu kidole na akapoteza maisha wazi wazi.
Umeona sasa, ndio maana nasema chimbuko lake ni gizani...Unapomnyooshea kidole unakua umeamuru hayo mashetani yamuingie na kumuuua
MOJAWAPO YA WATU WALIKUWA NA NGUVU HIZI ZA MIZIMU NI MTWA MKWAWA, NA ONG'WANANG'WALUNDI.
Ok..
HUwezi kuwazidi watu hawa bila kuwazunguka au kupewa siri waliyonayo na huwa ni mwiko siri zao kujulikana. Njia bora ya kuwajua au kuwaibia au kuharibu karama zao ni kutumia njia ya kuiba kivuli kutumia uke mwanamke au njia ya haja kubwa . au kuwatilia ndumba na sumu kwenye chakula au maji. Mke au mume ndo mtu rahisi kabisa kuwamaliza hawa watu. Ila HUwezi labda wamekiuka miiko dhidi ya utu.
Je wewe unaona uganga unatoka kwa Shetani au kwa Mungu?
Itaendelea
Nasubiri mwendelezo nijifujze
 
Neno kienyeji linamaanisha mganga mwenyeji sio wa kisayansi yaani aliezoeleka si wa kihospital. Jadi ni enzi na enzi yaani ni kitu cha kurithi kwa vizazi. Kuhusu kudhuru hata mungu tunafundishwa anadhuru ila ni mwenye huruma. Kuhusu shetani hakuna kitu kinaitwa shetani. Hiyo ni dhana. Ila ukitulia utangundua shetani ni kiumbe yeyote aliyeumbwa na mungu ila anakwenda kinyume na maagizo ya muumba. Hapa nawagusa majini na binaadamu. Kuhusu nguvu watu huumbwa na kuzaliwa nazo ukitaka kujua zinatoka wapi hapo ndo tutakuuliza unataka kujua kwa sababu gani. Na je wewe humweleza kila mtu lihusulo maisha yako. Kuhusu mimi sitajifafanua ila jua nguvu zipo na hazitoki kwa shetani.
 
Mimi naamini mungu yupo ila sio huyu wa biblia na quraan. Ila naamini katika miungu.Maana yake ni nguvu zinatoka kwa mungu maana mwanaadamu hakujiumba. Na ujue kabla hawajaja wazungu hao watu ndio walitoa tiba mbalimbali kwa jamii zao sasa mungu hawezi kumpa shetani kitu kizuri.
 
Neno kienyeji linamaanisha mganga mwenyeji sio wa kisayansi yaani aliezoeleka si wa kihospital. Jadi ni enzi na enzi yaani ni kitu cha kurithi kwa vizazi.
Ahsante kwa kunielewesha kumbe sikua mbali na maana yako.
Kuhusu kudhuru hata mungu tunafundishwa anadhuru ila ni mwenye huruma. Kuhusu shetani hakuna kitu kinaitwa shetani. Hiyo ni dhana.
Nafahamu hili, shetani ni status kama ilivyo Mungu
Ila ukitulia utangundua shetani ni kiumbe yeyote aliyeumbwa na mungu ila anakwenda kinyume na maagizo ya muumba. Hapa nawagusa majini na binaadamu.
Naam, ila Lucifer ndio anachukua nafasi ya Shetani mkuu toka alivyoanguka gizani kutoka kwenye mwanga! Hao majini, wanadamu na viumbe waliofuata njia ya Lucifer ya giza hua tunawaita Wafuasi/Agent wa Shetani (mashetani)
Kuhusu nguvu watu huumbwa na kuzaliwa nazo ukitaka kujua zinatoka wapi hapo ndo tutakuuliza unataka kujua kwa sababu gani. Na je wewe humweleza kila mtu lihusulo maisha yako. Kuhusu mimi sitajifafanua ila jua nguvu zipo na hazitoki kwa shetani.
Naomba kujua unaamini uwepo wa Mungu????
 
Ahsante kwa kunielewesha kumbe sikua mbali na maana yako.

Nafahamu hili, shetani ni status kama ilivyo Mungu

Naam, ila Lucifer ndio anachukua nafasi ya Shetani mkuu toka alivyoanguka gizani kutoka kwenye mwanga! Hao majini, wanadamu na viumbe waliofuata njia ya Lucifer ya giza hua tunawaita Wafuasi/Agent wa Shetani (mashetani)

Naomba kujua unaamini uwepo wa Mungu????
Mungu yupo ila si kama anavyosimuliwa. Ana namna yake ya utendaji si hii tuliyofundishwa na kukaririshwa.
 
Mimi naamini mungu yupo ila sio huyu wa biblia na quraan. Ila naamini katika miungu.Maana yake ni nguvu zinatoka kwa mungu maana mwanaadamu hakujiumba. Na ujue kabla hawajaja wazungu hao watu ndio walitoa tiba mbalimbali kwa jamii zao sasa mungu hawezi kumpa shetani kitu kizuri.
Je ni Mungu gani unamuamini tofauti na huyu wa ibrahim???? Ambae unaona ndio aliwapa nguvu hao watu
 
Maarifa haya ukishea hapa utapata usumbufu mkubwa sana mkuu. Wewe unaniuliza kama mjuzi na mtafiti ila kuna watu wanasoma hapa watatamani kujua huyu anayeyasema haya ni nani. Hapa patazuka timbwili. SIO KILA KITU KINASEMWA MKUU. kila la kheir
 
Maarifa haya ukishea hapa utapata usumbufu mkubwa sana mkuu. Wewe unaniuliza kama mjuzi na mtafiti ila kuna watu wanasoma hapa watatamani kujua huyu anayeyasema haya ni nani. Hapa patazuka timbwili. SIO KILA KITU KINASEMWA MKUU. kila la kheir
Concept ya Mungu ni pana sana..
Na kuielewa inahitaji uwe open minded na uweke imani uliyonayo pembeni.
Religion is kindergarten school ya kumjua Mungu.
Nyie watu ni wabinafsi sana, kwanini mnashindwa kushea maarifa kwa kuhofia watu watawaonaje?? Fungukeni tujifunze ndio kusudi la jukwaa hili wakuu
 
Back
Top Bottom