Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
=> Vyakula unavyokula hubeba 80% ya mapambano ya kupunguza uzito. Kula vyakula vya wanga kama viazi, wali na ugali siku ambazo utafanya kazi au mazoezi magumu tu ili kutoongeza uzito/unene.
=> Ikiwa umepanga vizuri aina ya vyakula unavyopaswa kula ili kupunguza uzito na bado haupungui tu, basi uwezekano ni mkubwa kuwa unakula kupita kiasi.
=> Unafanya mazoezi yasiyostahili mfano cardio kwa muda mrefu bila kubadilisha. Kufanya mazoezi haya kwa zaidi ya dakika 90 husababisha kuliwa kwa misuli muhimu inayoongeza kasi ya umetaboli.
Chanzo: TibaFasta
=> Ikiwa umepanga vizuri aina ya vyakula unavyopaswa kula ili kupunguza uzito na bado haupungui tu, basi uwezekano ni mkubwa kuwa unakula kupita kiasi.
=> Unafanya mazoezi yasiyostahili mfano cardio kwa muda mrefu bila kubadilisha. Kufanya mazoezi haya kwa zaidi ya dakika 90 husababisha kuliwa kwa misuli muhimu inayoongeza kasi ya umetaboli.
Chanzo: TibaFasta