Kupunguza mwili kwa baadhi ya watu si tatizo maana kunawale wana ita diet ya kifo ka sijakosea yani mtua anaamkia maji anashindia majia analalia maji njaa ikimuuma anavumilia na ni kweli anapungua kwa haraka sana ila ni hatari kiafya, changamoto inakuwa ni kubakia pale mtu atakapo kubaki mfano kuwa mwembamba baada ya kupunguza unene.
Ila mie mimejifunza mengi katika nutrition na mengi kuhusiana na afya kitu chakwanza kiongezacho unene ni vyakula hasa wanga kupita kiasi na sukari nyingi ukiwa na namna ya kuacha sukari na kuacha wanga utapungua kwa haraka ila katika kiwango ambacho si hatari kiafya ila ukifika katika size uonayo yafaa ndo unakula vyakula vya protein, mboga, na matunda kiasi yenye sukari pia unaongeza kiasi cha wanga ila si kwa wingia ambako kutakupelekea kwenye kuongezeka uzito tena, mfano unaweza kula ugali kwa mara mbili kwa wiki mpaka tatu.