LGE2024 Sababu zinazonifanya nisipoteze muda wangu kupiga kura!

LGE2024 Sababu zinazonifanya nisipoteze muda wangu kupiga kura!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wa hovyo sana kuliko hata wa 2019 sema kwa kuwa watu wanakula rasilimali za taifa bila huruma huyu mama watamuona anafaa sana ila ukweli hili limama halina chochote cha maana.

Na sijui uchaguzi wa mwakani utakuwaje kama huu tu wa serikali za mitaa watu wameuawa sijui kwa madowani,wabunge na rais itakuwaje.

Ccm japo wametutendea dhambi nyingi na kubwa watutendee tu haki ya kumuweka kando huyu bibi yao bora nchi iongozwe na mwanaume huenda atazihurumia walau kidogo rasilimali zetu ili zije zinufaishe na vizazi vijavyo.
 
Ka
Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wa hovyo sana kuliko hata wa 2019 sema kwa kuwa watu wanakula rasilimali za taifa bila huruma huyu mama watamuona anafaa sana ila ukweli hili limama halina chochote cha maana. Na sijui uchaguzi wa mwakani utakuwaje kama huu tu wa serikali za mitaa watu wameuawa sijui kwa madowani,wabunge na rais itakuwaje.

Ccm japo wametutendea dhambi nyingi na kubwa watutendee tu haki ya kumuweka kando huyu bibi yao bora nchi iongozwe na mwanaume huenda atazihurumia walau kidogo rasilimali zetu ili zije zinufaishe na vizazi vijavyo.
Zilivyo hurumiwa Dhahabu na Gesi yetu !😳🙏
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
  • 5723085-f2958354fb3d5c7668951cd04505632.mp4
    16 MB
  • downloadfile-24.jpg
    downloadfile-24.jpg
    38.4 KB · Views: 3
  • downloadfile-35.jpg
    downloadfile-35.jpg
    44.8 KB · Views: 4
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 3
Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa wa hovyo sana kuliko hata wa 2019 sema kwa kuwa watu wanakula rasilimali za taifa bila huruma huyu mama watamuona anafaa sana ila ukweli hili limama halina chochote cha maana. Na sijui uchaguzi wa mwakani utakuwaje kama huu tu wa serikali za mitaa watu wameuawa sijui kwa madowani,wabunge na rais itakuwaje.

Ccm japo wametutendea dhambi nyingi na kubwa watutendee tu haki ya kumuweka kando huyu bibi yao bora nchi iongozwe na mwanaume huenda atazihurumia walau kidogo rasilimali zetu ili zije zinufaishe na vizazi vijavyo.
Walamba asali wakiona hii comment yako watakugawana kama wanavyogawanaga hela za misaada zinalotwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Binafsi Mimi Kuna muda huwa simlaumu sana huyu bibi wa kizanzibar, mzizi wa haya yote tunayoyaona umeanzia kwetu sisi wenyewe watanganyika hasa wanaume,

Huyu mbibi wa kizanzibar mwanzoni aliliongoza hili taifa kwa discipline sana na kwa uoga na ndio maana alifanya vizuri mno, lakini baadae akaja kugundua watanganyika hawajali kabisa kuhusu taifa lao Bali wanajali kuhusu matumbo yao na Magufuli alikuwa anawabana,

Kwa hiyo alichoamua ni kuwaruhusu wafanye ufisadi kadri wanavyotaka wakati huo na yeye mwenyewe pia akiwa ni mnufaika wa mfumo huo wa ufisadi huo, ndio maana tunaona anafanya maamuzi ya ajabu ajabu tu huku watanganyika waliopo kwenye serikali yake wakimpigia makofi na kumtetea dhidi ya sisi tunaohoji, na Wala hajali

Hata kama ningekuwa ni Mimi kwa aina hii ya watu waliopo kwenye jamuhuri ya Tanganyika ningeuza karibu Kila kitu na kukopa sana nikaenda kujenga kwetu kisha baada ya muda wangu kuisha ninawaacha hapo mlipe madeni,

Tatizo sio Samia, tatizo ni watanganyika
 
Walamba asali wakiona hii comment yako watakugawana kama wanavyogawanaga hela za misaada zinalotwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Binafsi Mimi Kuna muda huwa simlaumu sana huyu bibi wa kizanzibar, mzizi wa haya yote tunayoyaona umeanzia kwetu sisi wenyewe watanganyika hasa wanaume,

Huyu mbibi wa kizanzibar mwanzoni aliliongoza hili taifa kwa discipline sana na kwa uoga na ndio maana alifanya vizuri mno, lakini baadae akaja kugundua watanganyika hawajali kabisa kuhusu taifa lao Bali wanajali kuhusu matumbo yao na Magufuli alikuwa anawabana,

Kwa hiyo alichoamua ni kuwaruhusu wafanye ufisadi kadri wanavyotaka wakati huo na yeye mwenyewe pia akiwa ni mnufaika wa mfumo huo wa ufisadi huo, ndio maana tunaona anafanya maamuzi ya ajabu ajabu tu huku watanganyika waliopo kwenye serikali yake wakimpigia makofi na kumtetea dhidi ya sisi tunaohoji, na Wala hajali

Hata kama ningekuwa ni Mimi kwa aina hii ya watu waliopo kwenye jamuhuri ya Tanganyika ningeuza karibu Kila kitu na kukopa sana nikaenda kujenga kwetu kisha baada ya muda wangu kuisha ninawaacha hapo mlipe madeni,

Tatizo sio Samia, tatizo ni watanganyika
Du....!
 
#SITOSHIRIKI ISSUE YOYOTE YA UCHAGUZI,, HADI KUWE NA FAIR COMPETITION
 
Walamba asali wakiona hii comment yako watakugawana kama wanavyogawanaga hela za misaada zinalotwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Binafsi Mimi Kuna muda huwa simlaumu sana huyu bibi wa kizanzibar, mzizi wa haya yote tunayoyaona umeanzia kwetu sisi wenyewe watanganyika hasa wanaume,

Huyu mbibi wa kizanzibar mwanzoni aliliongoza hili taifa kwa discipline sana na kwa uoga na ndio maana alifanya vizuri mno, lakini baadae akaja kugundua watanganyika hawajali kabisa kuhusu taifa lao Bali wanajali kuhusu matumbo yao na Magufuli alikuwa anawabana,

Kwa hiyo alichoamua ni kuwaruhusu wafanye ufisadi kadri wanavyotaka wakati huo na yeye mwenyewe pia akiwa ni mnufaika wa mfumo huo wa ufisadi huo, ndio maana tunaona anafanya maamuzi ya ajabu ajabu tu huku watanganyika waliopo kwenye serikali yake wakimpigia makofi na kumtetea dhidi ya sisi tunaohoji, na Wala hajali

Hata kama ningekuwa ni Mimi kwa aina hii ya watu waliopo kwenye jamuhuri ya Tanganyika ningeuza karibu Kila kitu na kukopa sana nikaenda kujenga kwetu kisha baada ya muda wangu kuisha ninawaacha hapo mlipe madeni,

Tatizo sio Samia, tatizo ni watanganyika
Imagine huyu dogo Abduli mamilioni anayogawa kama njugu anayatoa wapi? Tumeumizwa pakubwa sana na huyu maza.
 
Back
Top Bottom