Hiyo tunaitaga 'traveller diarrhoea' na ina sababishwa na E.Colli kumbuka kula kula vitu unavyokutana navyo njiani sio nzuri kwa afya kwa sababu hujui vimeendaliwaje usile njiani kabisa kwa usalama wako maana usafi kwa watanzania upo chini sana....kula vitu kama ambavyo viko seal kama biscuit, na the like ni vizuri but zingatia kunawa mikono na sabuni kabla hujaweka chochote mdomoni
Binafsi naona ukila vyakula vya mchuzi asilimia kubwa lazima hii hali itakukuta tofauti na vyakula vikavu,hivi ni nadra sana kusababisha matatizo ya kuharisha safarini.