SoC03 Sababu zinazopelekea vifo vya mama na mtoto na nini kifanyike kuzuia vifo vya mama na mtoto nchini

Stories of Change - 2023 Competition

mr planer

New Member
Joined
Sep 1, 2022
Posts
1
Reaction score
0
SABABU ZINAZOPELEKEA VIFO VYA MAMA NA MTOTO NCHINI
1 ukosefu wa wataalamu wa afya wa kutosha . 2, ukosefu wa vifaa tiba .3 uzembe wa baadhi ya watumishi wakiwa eneo lao la kazi . 4 , upungufu wa vituo vya afya . 5 baadh ya watumishi kukosa wito katika kazi .6 jamii kukosa elimu kuhusu afya ya mama kujifungulia hospital. 7 miundombinu mibovu ya barabara .8 mama kutokuhudhuria kilinik 9 halmashaur kukosa magari ya wagonjwa.

NINI KIFANYIKE KUZUIA VIFO VYA MAMA NA MTOTO
1 serikali kujenga vituo vya afya vya kutosha koka kata .
2 serikali kuajiri wataalam wa afya wa kutosha .
3 ununuzi wa vifaa tiba na madawa ya kutosha .
4 miundombinu Bora ya barabara
5 kila halmashaur inunue angalau gari moja la wagonjwa
6 mama ahakikishe anahudhuria kilnik zote ujauzito
7 elimu itolewe kwa jamii juu ya umuhim wa kujifungulia hospital .
8 semina za Mara kwa Mara ili kusaidia watumishi wa afya kukumbushia walichojifunza darasan
9 kuachana na upotofu katika jamii kuhus waganga wa jadi. 10 maslahi Bora kwa watumishi ili wafanye kazi kwa weredi na amani ya moyoni mwao
 
Upvote 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…