Huyu Dem ni konyooo....Mimi huwa naogopa yale mafunzo ya kong fu ambayo mke wangu aliyapata kwenye kile chuo cha the Sheng Chi foundation.View attachment 2001944
Nakubaliana na wewe kweli......lakini aina nyingi ya au za tabia zinajengwa na mazingira na mienendo ya watu wanaomzunguka mtu.....inawezekana pia mtu huyo akabadilika ikiwa atakutana na mitazamo na mienendo tofauti na aliyoizoea na inayompendeza......ni jambo linalochukua muda lakini linawezekana....Ndo nakubia mkuu usikaidi kwamba hakuna wanawake wakali,ukiendelea kuishi miji tofauti na watu tofauti utakuja kuona hiki kitu...
Yes ni kweli kaka hakuna kinachoshindikana.Nakubaliana na wewe kweli......lakini aina nyingi ya au za tabia zinajengwa na mazingira na mienendo ya watu wanaomzunguka mtu.....inawezekana pia mtu huyo akabadilika ikiwa atakutana na mitazamo na mienendo tofauti na aliyoizoea na inayompendeza......ni jambo linalochukua muda lakini linawezekana....
Wanawake wa Vicoba pasua kichwamfano haujanishirikisha kipato chako mi nitatambuaje
AmenIla wapo wanawake wakali, wanaume Mungu awatie nguvu
Aliacha kuja kabisaKwani yeye anachelewa?
So kuna gapAliacha kuja kabisa
Hakuna nimelijaza na mawazo ya uchumi mkuu,nimechoka kilakituSo kuna gap
PoleHakuna nimelijaza na mawazo ya uchumi mkuu,nimechoka kilakitu
Aise hapanaAisee hiyo #3 ndio huwa inanikera zaidi
Hata nikiwa kwa mama mzazi huko kibosho lazima nikwaruzane nae, wanawake sijui mna matatizo gani house girl akigonga glass kelele, akipiga hatua kwa kishindo kelele, akinyata kelele
Kuna time ni bora wasirudi kabisaaAliacha kuja kabisa