Sababu zinazowafanya Wanaume wengi wachelewe kurudi nyumbani

Jana kulikuwa na balaaa nyumbani,nimewahi kurudi home tupo tunapiga tu story ,sasa katikati ya story Wife Wakawa kama wanataniana na dada wa kazi mimi hayo mengine sikusikia,nilianza kusikia hapa
Wife:Neema Kwani wewe unataka mwanaume wako aweje
Neema:Yaani mimi napenda kama hivyo Baba Ethan(mimi),yaani hiyo hivyo Alivyo

Wife alinyanyuka ,nimeshangaa ameninunia mimi.
Bora nisingewahi kurudi siku ya jana
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣 Maswali mengne sio yakuulizana. Tena bora umewai kurudi ukajua chanzo maana ata usingewai kurudi home bado ungesifiwa na angenunu tu kwa kusifiwa.
 
Kuna wanawake bora uwahi kuchelewa ukute amelala...
Ukiwahi ukamkuta ataanza kukunusa akwmbie uvue boksa anuse.
Akiona haitoshi akamue dushe aone km vishahawa vimebaki
[emoji23][emoji23][emoji23]huu Sasa ni utumwa why umkague mtu mzima mwenzako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zamu ya kulea mtoto!! [emoji23]

Kwamba boss mmepangiana zamu ya kulea na mke wako au !?
 
Mi kelele ndo sipendi ,alafu unamjibu taratibu yeye louder,apo mi najikusanya huyo kwenye jumuia ya k vant.Nikirudi mid night nalala zangu.ukiwa na hasira za karibu unaweza jikuta uko ukonga 30yrs
 
Hapo kimeshaumana. Na wanavyopenda kwenda kwenye hitimisho kwa kutumia hisia bila reasoning utajua hujui.
 
Sababu kubw ani kukwepa Pia umbea kutoka kwa mke
 
.......hailet maana kuchelewa kurud nyumbani kisa changamoto ambazo unaweza kuztatua, bas haujafkia vgezo vya kuwa mume au baba na umeoa mtu ambaye bado hajakidh vgezo vya kuwa mama


At kupekuliwa simu hahaha au kudaiwa matumizi mnh inashangaza, bado sjaona sababu yeny mashko ya kufanya wanaume wachelewe kurud majumbani kwao. Hizo n sababu za vivulana ambavyo bado havjafkia kuwa wanaume.
 
Semeni tu nyie ni mafurushi akili za kuendesha familia zenu hamna ndio maana mnachelewa kurudi makwenu. Haina justification hiyo.
 
Kuna wanawake bora uwahi kuchelewa ukute amelala...
Ukiwahi ukamkuta ataanza kukunusa akwmbie uvue boksa anuse.
Akiona haitoshi akamue dushe aone km vishahawa vimebaki
[emoji28][emoji28]dah
 
Maisha hayana formula unavyo andika aya ukumbuke kuna wanawake ni pasua kichwa bora tu kuchelewa
 
Ukichelewa kurudi shida ukiwahi kurudi shida ... Mara nyingi huwa nalala hukohuko ... Narudi asubuhi
 
Umeandika mengi sijasoma yote ila najua umeandika pumba ..... Kuwa karibu na kuambatana na mkeo kila sehemu usizani ndio uongozi Bora au ndio ukichwa......au kushinda unapigizana kelele na mkeo huo ndio uanaume acha upuuzi .....Kuna ndoa bila kupeana space zingekua zimevunjika kitambo bro



Sometime love needs space
 
Mkuu hapa umeupiga mwingi sana

Shikamoo!!
 
Baba unapatikana kanda gani ya nchi hii?kama watu wote wangekuwa na akili kama zako basi kesi za kila siku humu zisingekuwepo,
Men play your part as men!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…