Sababu zipi zilikupelekea ukawa shabiki wa hiyo timu yako ya sasa pale Uingereza?

Sababu zipi zilikupelekea ukawa shabiki wa hiyo timu yako ya sasa pale Uingereza?

Ronaldinho alinipeleka barca, kipindi hicho 2004 kila baada ya taarifa ya habari ITV ya usiku walikuwa wana kipindi cha kandanda... Siku hiyo walikuwa wanaonesha maajabu ya dinho na tokea hapo nikawa barca damu....

Uingereza nilikuwa naifatilia Chelsea lakini sijawahi kuwa fan wake... Nakumbuka mwaka 2008 nilisomaga gazeti moja kuihusu man city kununuliwa na waarabu na waliwapamba sana wale waarabu, na tokea hapo nikaanza kuwafatilia man city na nikanunuaga na jersey yao na ndo ikawa jersey yangu ya pili ya club kuivaa baada ya ile ya Barca

Kwahiyo uingereza nikawa naikubali man city zaidi kwa sababu ya mpunga wao tu...

2010 baada ya kuanza kukiwasha EPL na kuwa nafasi za juu hapo ndo nikawa die hard fan wao mpaka leo

Ila kwa barca hunitoi hata km ikishuka league
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
wayne rooney.
Karibu mkuu
Screenshot_20221114-164649~2.jpg
 
Mimi ni shabiki wa Liverpool kindaki kindaki siyo masihara,

Sababu iliyopelekea kuipenda hii ni;

1. Bwana mdogo Michael Owen, enzi hizo vile alivyo kasi na ufungaji wake na falsafa za pale kwenye timu ambazo zilianzishwa na Bill Shanks, moja kati wa wachezaji hatari kuwahi kutokea hapo na baadae kuwa mwalim. Falsafa ya kucheza kama upo kwenye fainali.

2. Tukio la pili ni ule usiku wa UEFA Champions League dhidi ya AC Milan ya enzi zile kwa kupiga ile come back ya hatari zaidi Duniani. Hii ilipelekea mimi kuwa shabiki mzuri wa Liverpool. Huu uzi utunzwe nina imani kuna siku nitakanyaga uwanja wa Anfield kwa uwezo wa Mungu.

Tukio lipi lilikupelekea kushabikia hiyo timu yako?

#TheRedsView attachment 2394878View attachment 2394879
The kopps hapa...FA final na west ham Gerrard anachomoa goli tunaenda matuta
 
1999 timu ya mtaani kwetu waliamua kuiita MANCHESTER UNITED
tukapeana majina

Mdogo wangu akaitwa TEDDY SHERINGHAM
mm kwakuwa nilikuwa GOALKEEPER wakaniita. PETER SCHMEICHEL
halafu kulikuwa na PACHA wawili watoto wa NYUMBA ya jirani wakauvaa uhusika wa ANDY COLE na mwingine tukamuita DWIGHT YORK

Tangu kipindi hicho mpk sasa Ndo nikawa MAN U kamili
Kiuhalisia nilianza kuipenda MAN U tangu mwaka 1996 hivi au 1997 sema kipindi hicho sikuwa interested sana na mpira mpk mwaka 1999
Nilivyoanza kudakia timu yangu ya mtaani ndio nami nikawa MAN U rasmi mpk sasa
 
Kuna mtu alikuwa anaitwa celestine babayaro mbavu kunesa 1998 kupeleleza sana nikamkuta chelsea
Kuzama chelsea nikakuta wana
Babayaro,
Flo
Wise
Goodjonsen
Parker
Bogade
Lebeouf
Desaily
Ed goey
Zola
Poyet
Le sax
Terry
De mateo
Papescu
Vialli

Hatari sana, nikakaa humo humo hadi leo,
Leo tuna wachezaji et wanaitwa cuculera shenzi kabisa..
 
1999 timu ya mtaani kwetu waliamua kuiita MANCHESTER UNITED
tukapeana majina

Mdogo wangu akaitwa TEDDY SHERINGHAM
mm kwakuwa nilikuwa GOALKEEPER wakaniita. PETER SCHMEICHEL
halafu kulikuwa na PACHA wawili watoto wa NYUMBA ya jirani wakauvaa uhusika wa ANDY COLE na mwingine tukamuita DWIGHT YORK

Tangu kipindi hicho mpk sasa Ndo nikawa MAN U kamili
Kiuhalisia nilianza kuipenda MAN U tangu mwaka 1996 hivi au 1997 sema kipindi hicho sikuwa interested sana na mpira mpk mwaka 1999
Nilivyoanza kudakia timu yangu ya mtaani ndio nami nikawa MAN U rasmi mpk sasa
Ntmn nikupe uzi wa United mkuu
 
Kuna mtu alikuwa anaitwa celestine babayaro mbavu kunesa 1998 kupeleleza sana nikamkuta chelsea
Kuzama chelsea nikakuta wana
Babayaro,
Flo
Wise
Goodjonsen
Parker
Bogade
Lebeouf
Desaily
Ed goey
Zola
Poyet
Le sax
Terry
De mateo
Papescu
Vialli

Hatari sana, nikakaa humo humo hadi leo,
Leo tuna wachezaji et wanaitwa cuculera shenzi kabisa..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Arsenal sababu anakiwasha na anaongoza ligi EPL na inavyoonekana pale juu hatoshuka na kikombe atachukua, mechi ijayo Arsenal atacheza na West Hama, ataifunga West Ham na atatimiza point 40 huku Man City akicheza na Liverpool atachezea kichapo km alivyochezea kwa Brentford

Arsenal raha sana,
 
Back
Top Bottom