dafity
JF-Expert Member
- Aug 16, 2008
- 1,858
- 2,059
CHANGIA HOJA HII...
Je kuna haja ya "SABASABA" kuendelea kuwa SIKU YA MAPUMZIKO KITAIFA?
1-Maundhui yake yamebadilika kutoka kuzaliwa TANU hadi WAKULIMA na sasa sio wakulima tena bali ni BIASHARA.
2-Siku hizi inafanyika sana Daressalaam pekee sio kama zamani ambapo hata mikoani waliadhimisha. Mikoa kama Tanga Morogoro, Dodoma nk wanavyo viwanja vya "sabasaba" ingawa vimebadilishwa matumizi kwavile hakufanyiki maadhimisho.
Je iendelee kuwa "Mapumziko Kitaifa?"
Je kuna haja ya "SABASABA" kuendelea kuwa SIKU YA MAPUMZIKO KITAIFA?
1-Maundhui yake yamebadilika kutoka kuzaliwa TANU hadi WAKULIMA na sasa sio wakulima tena bali ni BIASHARA.
2-Siku hizi inafanyika sana Daressalaam pekee sio kama zamani ambapo hata mikoani waliadhimisha. Mikoa kama Tanga Morogoro, Dodoma nk wanavyo viwanja vya "sabasaba" ingawa vimebadilishwa matumizi kwavile hakufanyiki maadhimisho.
Je iendelee kuwa "Mapumziko Kitaifa?"