yani hata ubishe vp ukwel utabaki kua ukweli tu, kwa maana hiyo vyuo binafsi vinatumia power yao kuwakandamiza wanyonge kwa sabab 2 hawana pa kukimbilia. dini ziheshimiwe, na ndo mana jmoc co cku ya kazi.
kuna koz nyngne hazpo chuo cha arusha, na hii ndo inalazimu wasabato kwenda vyuo mbalimbali, ila hata km 2nasoma vyuo vyenu msi2mie nafasi hyo kukandamiza imani za wenzenu. ukwel upo palepale
Baada ya hapo palikuwa na sikukuu ya Wayahud, naye Yesu akakwea kwenda Yerusalemu. Na hapa palikuwa na mtu ambaye amekuwa hawezi muda wa miaka 38. Yesu akamwambia 'Simama, jitwike godoro lako, uende'. Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni siku ya Sabato. Kwa sababu hy Wayahudi wakwambia yule aliyeponywa 'Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro'. Akawajibu, 'Yeye aliyenifanya kuwa ni mzima ndiye aliyenambia 'Jitwike Godoro lako, uende'. Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya Sabato. Akawajib, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi. Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwuah kwa kuwa HAKUIVUNJA SABATO TU, bali pamoja na hayo alimwita Mungu baba yake, akijifanya sawa na Mungu.
Acha ujinga wewe nani alikuambia jumamosi siyo siku ya kazi? Hivi watu wote wakiamua kupumzika siku ya jumamosi nchi itakalika kweli? Tuseme polisi, majeshi yote, hosptali, sokoni, maduka yote yafungwe, kampuni za simu zisifanye kazi hali itakuwaje? Hivi nyie wasabato mna matatizo gani? Au ndiyo maana wenzenu walitaka kuozea pale JKNIA wakidai kutaka kusafiri bila pasi wala visa!!?
Jumapili ni siku ya Mungu Jua Miungu ile iliyokatazwa na Mungu alie hai Mungu wa Ibrahimu.... Fanya utafiti utalijua hili hadi kubadilishwa siku ya Kusali na kupumzika from Jumamosi hadi Jumapili... ni Njia kuu ya Shetani kupotosha watu wengi kwani imeandikwa watakoenda Mbinguni ni Wachache Shetani at work.... na kama huna imani lazima akuchukue tu Kwani Mbinguni ni patakatifu hawaiingii watu wachafu.... Isomeni vizuri Biblia hakika Mungu atawapa uwezo wa kuielewa na si kuipotosha.....naona minority wakishambuliwa mods hawana tatizo, ungeguswa uislamu na ukatoliki zisingefika post kumi thread imefungwa au kufutwa kabisa.
sioni sababu kwa nini wasipewe mitihani jumapili ? kwa nini jumapili inalindwa hivi?
Alitenda yapi? Hayo aliyoyatenda ndo nataka kufahamu ?!
Umeandika vema! Unaweza pia kuniandiki majibu ya Yesu alijibu nini walipomkabiri na hoja Kama hiyo? Napita kidogo Ntarudi saa 4
Nonsense!! Wangejifanya kama Paulo aliyejifanya myahud ili awapate wayudi! Akajifanya yuko chini ya sheria ili awapate walio chini ya sheria! Na wao wangejifanya si wasabato kwa mda ili lengo lao la kupata digree litimie!
hii imekaaje wakuu, katiba iliyopo inazungumziaje issue hii!
Acha ujinga wewe nani alikuambia jumamosi siyo siku ya kazi? Hivi watu wote wakiamua kupumzika siku ya jumamosi nchi itakalika kweli? Tuseme polisi, majeshi yote, hosptali, sokoni, maduka yote yafungwe, kampuni za simu zisifanye kazi hali itakuwaje? Hivi nyie wasabato mna matatizo gani? Au ndiyo maana wenzenu walitaka kuozea pale JKNIA wakidai kutaka kusafiri bila pasi wala visa!!?
Mabwana wapo wengi, yupi unayemzungumzia?? Kama ni Yehova hiyo imekula kwao, kuja kwa Yesu hatupo tena chini ya matendo ya sheria/torati kwa maana Haki haipatikani kwa matendo ya Sheria bali kwa Imani'Galatia 2:16' Galatia 2:21, Ibrahimu alihesabiwa haki kwa Imani. Na sabato ilikuwa ni Agano la Mungu na Wana wa Israel tu 'Hesabu 31:16-17'. Ukisoma Galatia yote nadhani hautakaa tena chini ya Sheria/torati.
We huenda ni msabato kwa mapokeo ya wazazi wako na hutaki kuchimba kuujua ukweli. Mstari uliyopewa kuna uliyotangulia, huo ufuate utakupa picha ya uliyowekewa.
Ok hiyo kazi ambayo Yesu aliifanya na baba yake anayoifanya ndo nataka kuifahamu! Kama ni uponyaji na kufanya yaliyomema siku ya sabato haina shida! Wewe uliechimba ukweli ukweli nipatie elimu!
Tatizo lililopo hapa ni Moja kaka, kama ukiendelea kuwa na Moyo mgumu na kutokuubali ukweli basi maongez yetu ni bure. Pia tutaleta Mabishano kitu ambacho Biblia imekataza. Mkuu si nimekuwekea hapo majibu ambayo Yesu aliwajibu Wayahudi??? Embu rudia tena kusoma.
Kwahiyo umekubali kwamba Yesu alivunja Sabato???
SABATO ILIFUTWA YESU ALIPOKUFA NDO SABABU LEO HAKUNA MTU ANAYESHIKA SABATO.KAMA YUPO NI MNAFIKI.soma kutoka 16:29 Mtu yeyote asitoke mahal pake siku ya sabato..kutoka 35:3 msiwashe moto siku ya sabato.leo wasabato wanabeba viti na kwenda navyo km 3 kanisan.wanapika.unafiki huo wa mafarisayo.matendo 16:10,11