Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
uzuri wake wasabato nimekuwa nao kuanzia kwenye familia, shuleni, chuoni kazini, kwenye biashara na katika maisha ya kawaida hivyo hunishangazi! wengi wa wasabato ni kama wewe!: WANAFIKI SANA! mnaamini mcha mungu ni anayesali jmosi tu!! dhambi zingine kama dhuruma, uongo, uzinzi kwenu siyo issue!! nilikuwa na classmates wangu pale MIST wao usiwambie kuingia darasani kabisa siku ya jmosi lakini walikuwa wanaishia kwa hawara zao mitaa ya nzovwe, forest, kanisani kwao mabatini na isanga the same huku makazini! So kwa hili usinidanganye kwa kunisomea vifungu vya biblia!!
Kua msabato hakumaanishi kua tayari ni mtakatifu!