Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
siwezi kujificha imani yangu, huku ni sawa na kumkana yesu kwenye umati km petro alivyomkana yesu. cwez ogopa majungu au matusi kwa kuitetea imani yangu.
Bila shaka hawa ndo MESHACK,SHADRACK NA ABEDNEGO wa leo,hongereni vijana kwa kuitetea imani ya kweli,watasema mengi lakini nyie mtazamen MUNGU WENU YEYE HATAWAACHA KAMWE
Yesu mwenyewe alisema ya Kaisari mpatie Kaisari na ya Mungu mpatie Mungu.
siwezi kujificha imani yangu, huku ni sawa na kumkana yesu kwenye umati km petro alivyomkana yesu. cwez ogopa majungu au matusi kwa kuitetea imani yangu.
Wataingia kwenye ufalme wa wajinga, Biblia inasema ya kaizari mpe kaizari wao wamegoma.
Pia Biblia inasema ni nani ambaye ng'ombe wake akidumbukia shimoni siku ya sabato hato mtoa?
wenyewe wamejidai manunda, fukuzia mbali nguruwe hao
Sawa ni mwaka huu lakini ni miezi mingi imepitwa na lilishajadiliwa sana hapa JamiiForums.hawa nadhani ni wa mwaka huu.
yani hata ubishe vp ukwel utabaki kua ukweli tu, kwa maana hiyo vyuo binafsi vinatumia power yao kuwakandamiza wanyonge kwa sabab 2 hawana pa kukimbilia. dini ziheshimiwe, na ndo mana jmoc co cku ya kazi.
yani kutoa msaada siku ya sabato si dhambi, kwani ni jambo jema pia umefanya. pili kujitwika godoro si kazi kwani ni mzigo km mizgo mingne, na hakuna sheria inayomzuia m2 kubeba mzigo cku ya sabato. tatu yesu kuponya alitoa msaada na sio kufanya kaz
hii imekaaje wakuu, katiba iliyopo inazungumziaje issue hii!
haijalishi kuna vyuo na watu wangapi wanaotoa matusi juu ya sabato, hamtutukani sisi bali mwamtukana bwana wa sabato ambae ni yesu.
Yani wewe ndo masalia halisi....Unapoambiwa ukweli unasema majungu...!!!!!
Naomba nikuulize swali.....Kwani si mna chuo chenu pale Arusha...? Ili kuepusha shari kwanini msiende kule...?
Kwa nini hao wasabato wasiende kusomea uinjilisiti ili wawe wahubiri? Ya Kaisari wamwachie Kaisari! Hivi hao wasabato wakiugua jumamosi hawaendi hospitali? Stupid kabisa!!!!!!!