SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

Status
Not open for further replies.
Fanya hima ukawatetee na wanafunzi waliofukuzwa.

Chamviga tafadhali sana! Huku umepotea! Tupambane kwenye mambo ya siasa lakini Sio katika swala hili! Hao wanafunzi wako sahihi kabisa!
 
Chamviga tafadhali sana! Huku umepotea! Tupambane kwenye mambo ya siasa lakini Sio katika swala hili! Hao wanafunzi wako sahihi kabisa!

Nimekosea nini mkuu jamaa amesema anaitetea imani mimi nikamuambia awatetee na wanafunzi waliofukuzwa. Elimu ni muhimu sana katika maisha yao.
 
najua unanikejeli kwa jusema hvo, ila bado ukweli utakua palepale tu, haijalishi ni wangapi watanikejeli km wewe, ila siwezi hofia kejeli zenu kwa kusema ukweli juu ya sabato

Unajua nn kwakuwa tayari wameshafukuzwa ni bora waende wakasomee Uchungaji wawe wahubiri basi...Nakuonea huruma unavyo lalamika....Usifungwe na sheria za kipuuzi Mungu hana siku, siku zote ni zake....Unahitaji Neema ya Roho Mtakatifu kuelewa haya..
 
Katiba inasema huduma muhimu za afya na elimu ni haki ya msingi! !!!!!!!

Anayekataa mtihani anavunja msingi wa haki ya elimu!!!!!

Jiulize katiba na sheria zinatoka wapi? Zitakuja sheria na katiba za kuoana jinsia moja wewe utakua wa kwanza kufurahia huo ufedhuli! Lakini sheria ya na neno la Mungu litabaki palepale!
 
Nimekosea nini mkuu jamaa amesema anaitetea imani mimi nikamuambia awatetee na wanafunzi waliofukuzwa. Elimu ni muhimu sana katika maisha yao.

Elimu na Mali bila Mungu ni kazi bure!
 
acha udini, kwa hiyo kila mtu atafute chuo kinamilikiwa na dini yake, na vyuo vinavyomilikiwa na serikali navyo tuseme vinaendeshwa kwa misingi ya dini gani

Wewe mtu wa ajabu sana...Hao Wasabato wanasema wanaonewa na blah blah bla.....Sasa kama wanaona huko hapawafai ni boira waende kwenye kile chuo chao kinacho wafaa....
Kile chuo chao asilimia 70% ya wanafunzi sio.Wasabato na chuo kinaendeshwa Kisabato, Mbona hawalalamiki...? Jibu ni rahisi hawalalamiki kwasababu wanajua kilicho wapeleka pale ni Elimu na sio Misimamo ya dini zao.....Kwanini hamjifunzi nyinyi watu...? Nani kawalogaaaa nyie Mafarisayo....
 
Unajua nn kwakuwa tayari wameshafukuzwa ni bora waende wakasomee Uchungaji wawe wahubiri basi...Nakuonea huruma unavyo lalamika....Usifungwe na sheria za kipuuzi Mungu hana siku, siku zote ni zake....Unahitaji Neema ya Roho Mtakatifu kuelewa haya..

Umetoa wapi hiyo injili nyepesi nyepesi ya biashara na kuchumia tumbo? Fungua kanisa wewe uwe unahubiri hiyo biashara!
 
Labda kwa sababu hicho ni chuo cha kidini (private). Lakini kingekuwa chuo cha serikali naamini wasingefukuzwa.

Ila sio vizuri, hata kama huamini imani ya mtu IHESHIMU.
 
Umetoa wapi hiyo injili nyepesi nyepesi ya biashara na kuchumia tumbo? Fungua kanisa wewe uwe unahubiri hiyo biashara!

Vipi nyie Mafarisayo kwani hamna wachungaji....Unajua kilicho watokea wenzenu pale SAUT...?
 
Vilaza hao wanatafuta sababu za kuondoka chuoni, wangelikuwa wamejiandaa wangegomea mtihani? Thubutu....by the way hao waende iraq bila passport kuhubiri.
 
hii!!!!...watu mpaka x-mass an Eid tumefanyaga mitihani we unaongea jpill...uliza Sua na MUccob's.

Kama mlikubali kufanya mitihani yenu na siku hizo ulizosema hauna uhakika na Imani yako na Mungu wako! Lakini Kama ungekuwa na Imani usingekubali! Hao wanafunzi wana uhakika na Imani Yao Waacheni wamtetee Mungu wao!
 
Mimi naamini matendo yako ndiyo yatakufanya upendeze kwa watu na mungu wako, lakini na siyo kugoma kufanya mtihani kisa siku ya sabato labda uwe na sababu nyingine. Watu mnajifanya kumpenda mungu pale mnapokuwa na matatizo na pia hamna upendo kati. Hizo nyimbo mnazoimba kila siku kanisani eti mnamsifu mungu hazina maana hiyo. Wewe unayetia mgomo kufanya mtihani usiku ulimwaga chakula wakati huo kuna watu wamelala njaa. Wajinga hao hata ingekuwa mimi ni mkuu wa chuo ningewatimua.
 
Vipi nyie Mafarisayo kwani hamna wachungaji....Unajua kilicho watokea wenzenu pale SAUT...?

Ukiijua kweli itakuweka huru! Iwe Teku au Saut sabato itaendelea kusimamiwa hadi mwisho wa Dahali!
 
Vilaza hao wanatafuta sababu za kuondoka chuoni, wangelikuwa wamejiandaa wangegomea mtihani? Thubutu....by the way hao waende iraq bila passport kuhubiri.

Hata Yesu walimkejeli ivo ivo.Halafu ndugu acha kufananisha Masalia na waadventista wasabato.Pia naomba nikuulize ndugu,hivi ni kwa nini wasabato unawachukia sana au ukweli unauma?
 

Pole sana kwa kuzipuuza amri 10 za Mungu!Mungu aturehemu.
 

Ni vizuri kufanya yaliyo mema na kumpendeza Mungu siku ya Sabato! Kama wewe kwa mafundisho yako unaona mtihami ni kitu chema fanya wewe!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…