SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

Status
Not open for further replies.
Naona unamtukana Bwana wa sabato(YESU)live bila chenga.Mbona wakristo mnaipinga sana amri ya 4 lkn amri zingine 9 mnazishika halafu mnajibu hoja kwa matusi?
hyo haikufanikiwa kupita agano jipya la Yesu kristo, ime X-PAYA
 
Teku xaxa iv wameanza kulinga kwa sababu kimeanza kujulikana na kupata wanafunzi lakin kwa miaka ya 2008 \2009 xjui kama wangekuwa na jeuri hiyo kwanza chuo kilikuwa hakina hata gorofa moja kilikuwa kinatia uruma kweli aysee kweli maskin akipata _ _ _ _ hulia mbwata
 
Bado haujaniambia Yesu sloganeering kazi gani siku sabato?
The sabbath was made for men to rest, not for men to serve it!
"And it happened that He was passing through the grain fields on the Sabbath, and His disciples began to make their way along while picking the heads of grain. The religious leaders were saying to Him, "Look, why are they doing what is not lawful on the Sabbath?" And he said to them, "Have you never read what David did when he was in need and he and his companions became hungry; how he entered the house of God in the time of Abiathar the high priest, and ate the consecrated bread, which is not lawful for anyone to eat except the priests, and he also gave it to those who were with him?" Jesus said to them, "The Sabbath was made for man, and not man for the Sabbath. "So the Son of Man is Lord even of the Sabbath." (Mark 2:23-28) unaweza kupata pia kwenye (Matthew 12:1-14)


The Father and the Son work on the sabbath.
"For this reason the Jews were persecuting Jesus, because He was doing these things on the Sabbath. But he answered them, "My Father is working until now, and I Myself am working." For this reason therefore the Jews were seeking all the more to kill him, because he not only was breaking the Sabbath, but also was calling God His own Father..." (John 5:16-18)

 
mzaz kishaingia kwnye top ten ya vyuo bora Tanzania
 
Wataingia kwenye ufalme wa wajinga, Biblia inasema ya kaizari mpe kaizari wao wamegoma.
Pia Biblia inasema ni nani ambaye ng'ombe wake akidumbukia shimoni siku ya sabato hato mtoa?
wenyewe wamejidai manunda, fukuzia mbali nguruwe hao

Dah,nguruwe!kwani wamekukosea nini mama hadi uwaite nguruwe?
 
Poleni kwa hilo, kumbe kuna umuhimu wa kuwepo na sheria za kutulinda si wanafunzi make kuna mitihani inafanyika jumapili na hapo ibada/misa zinaendelea na ijumaa pia lecture zinaendelea watu wanasali, kila chuo kingeweka sheria na serikari ya wanafunzi ifatilie kwa undani zaidi swala hili
 

Sasa ndo ujiulize Haya majina ya siku yalitoka wapi? Na nani alieitoa sabato ya kweli na kuleta hizi siku zingine za kuabudu?
 

Haya mafungu hayaoneshi ushahidi wa Yesu kufanya kazi Kama kazi! Labda unisaidie maana sioni tendo la kazi hapo na majibu ya Yesu yako wazi na yanaeleweka!
 
Wambie Hawa watu ukweli! Hata Yesu alipokua akiwafundisha ile kweli waliikataa na kumua! Hata wanadamu wa Leo wanazipinga sheria za Mungu ambazo hizo sheria ndo imani ya Yesu! Sasa nashangaa wanadai kumwamini Yesu wakati sheria zake hawazitaki!

Waliomwua Yesu si walikuwa Washika Sheria?
 
ila we unachekesha, unajua hii nchi ina uhuru wa dini, kuwepo kwa wasabato wachache si kigezo cha kuwakandamiza imani zao. kusoma, kufanya mitihani siku ya sabato ni dhambi kwa msabato yoyote, basi na jumapili watoe hyo mitihani ili kuwe na usawa.

Hicho ni CHUO cha kisabato? Vinginevyo wakashike sabato kwao
 
hyo haikufanikiwa kupita agano jipya la Yesu kristo, ime X-PAYA

Pole sana sijui nianzie wapi kukueleza? Anyway huyo Yesu unaemuona kwenye agano jipya alikuwepo tangu agano la kale!
 
Mshaurini kiongozi wa kanisa la Sabato mkoa wa Mbeya au Taifa aende kuwaombea msamaha. Hawa vijana wanahitaji ushauri na support. Masuala ya dini na imani sio rahisi sana kama wadau wengi wanavyodhani.
 
Waliomwua Yesu si walikuwa Washika Sheria?

Aleyn Upo? Ok sasa ndo ukumbuke nini Yesu alisema kuhusu sheria!? Alafu walaka wa mtume Paul kwa Wagalatia wewe unaelewa nini? Au Hawa Wagalatia Walikua watu gani?
 

A day to Remember by George E. Vandeman! Tafuta kitabu hichi kinaweza kukusaidia tena Unaweza kukipata bure!
 
Haya mafungu hayaoneshi ushahidi wa Yesu kufanya kazi Kama kazi! Labda unisaidie maana sioni tendo la kazi hapo na majibu ya Yesu yako wazi na yanaeleweka!

Sijui kwanini Mkuu hutaki kuukubali ukweli, umepewa AYA ila bado hutaki kuelewa. Ngoja nikuandikie kwa Kiswahili. Yohana 5:16 inasema 'Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya Sabato'.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…