Sabaya aangua kilio mahakamani, kesi yaahirishwa

Sabaya aangua kilio mahakamani, kesi yaahirishwa

Kwa mahakama hizi nashangaa hadi sasa yuko magereza, ukiwa mwanaccm una kinga ya kufanya maovu. Huyo huenda alipishana na mama Samia kipindi akiwa kileleni kwenye utawala wa dhalimu. Nakumbuka mmoja ya watu waliokutana na kiburi cha madaraka cha Sabaya, ni marehemu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mama Ana Mghwira.
Kama kweli wana maanisha wamshtaki na Makonda.

Huyu wanamuonea tu.
 
Mtu anateseka namna hii kwa ajili ya kufurahisha wengine.

Haya madaraka ni ya muda tu.

Kama sio wao ni watoto au wajukuu wao. Will experience the same treatment.
Ni kutesa kwa zamu!
Hii kesi Jiwe alitakiwa kuunganishwa hata keshaenda zake. Ni zandiki aliyeaminisha kinda huyu ajione yeye ni wakala wa mungu mtu.

Mama upige mwingi!
 
..watuhumiwa wenzake wameweza vipi kukiri makosa na kuhukumiwa wakati upelelezi wa kesi bado haujakamilika?

..Upande wa serikali / Jamhuri unachezea kesi ya Sabaya kwa makusudi na mahakama inashiriki kumnyima haki?
 
Kama kweli wana maanisha wamshtaki na Makonda.

Huyu wanamuonea tu.

Huyu hawamuonei bali ndio anachostahili. Hapa tulipo tunashangaa inakuwaje Makonda anaachwa wakati na yeye alifanya unyama wa wazi kama Sabaya. Ndio maana nakuambia huenda alimuonesha mama Samia dharau wakati wa kipindi cha dhalimu.
 
Huyu hawamuonei bali ndio anachostahili. Hapa tulipo tunashangaa inakuwaje Makonda anaachwa wakati na yeye alifanya unyama wa wazi kama Sabaya. Ndio maana nakuambia huenda alimuonesha mama Samia dharau wakati wa kipindi cha dhalimu.
Huyu anaonewa tu ili kuwafurahisha watu fulani.

Kama kweli wanataka kushitaki watu. Orodha ni ndefu mno.

Huyu ni mbuzi wa kafara tu.
 
Mtu anateseka namna hii kwa ajili ya kufurahisha wengine.

Haya madaraka ni ya muda tu.

Kama sio wao ni watoto au wajukuu wao. Will experience the same treatment.
Sijafikia hatua ya kumwonea huruma Sababya kutokana na tabia aliyokuwa akiionyesha wakati alipokuwa madrakani.

Hata hivyo sitetei kamwe ateswe bila ya kupewa haki yake sitahiki. Kama mahakama itaona hana hatia, imwachie huru. Kama anayo makosa, iamuru atumikie makosa yake.
 
Mtu anateseka namna hii kwa ajili ya kufurahisha wengine.

Haya madaraka ni ya muda tu.

Kama sio wao ni watoto au wajukuu wao. Will experience the same treatment.
Wakati mnachukua hela za watu arusha hamkuyajua haya?
 
..watuhumiwa wenzake wameweza vipi kukiri makosa na kuhukumiwa wakati upelelezi wa kesi bado haujakamilika?

..Upande wa serikali / Jamhuri unachezea kesi ya Sabaya kwa makusudi na mahakama inashiriki kumnyima haki?

Mahakama zetu kwa sasa zinatumika wazi wazi kunyima watu haki zao, na huyo Sabaya alikuwa ni mmoja wa wafaidika wa huo udhaifu wa mahakama kwa kubambikia watu kesi, maana alikuwa anajua wataziagiza mahakama ziwakomoe watu waliowakomoa.
 
Huyu anaonewa tu ili kuwafurahisha watu fulani.

Kama kweli wanataka kushitaki watu. Orodha ni ndefu mno.

Huyu ni mbuzi wa kafara tu.

Ni kweli anakomolewa, lakini anakomolewa kwa haki, labda useme kwanini wakatili wenzake hawakutani na anachokutana nacho yeye. Ww unamtetea sio kwakuwa hajafanya unyama, ila kwakuwa ni mwarusha mwenzako.
 
Back
Top Bottom