Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Sabaya alifanyiwa ugaidi mbaya sana na MboweWaliofanyiwa ugaidi na mbowe wajitokeze hatutaki Majungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya alifanyiwa ugaidi mbaya sana na MboweWaliofanyiwa ugaidi na mbowe wajitokeze hatutaki Majungu
CCM ni Chama Cha MataahiraChadema ni chama cha wapumbavu
Kukiri makosa na kuhukumiwa kwa Sabaya kwaweza kufungua milango ya madai dhidi ya Sabaya na mwajiri wake (serikali) kwa walioathirika.Anaandika Malisa GJ
Sabaya amekiri makosa yote yaliyokua yanamkabili. Uhujumu uchumi ameomba "plea bargaining" na ametakiwa kulipa faini ya milioni 5. Yani fedha zote alizodhulumu kwa wafanyabiashara, watu binafsi na taasisi, faini yake ni milioni 5 tu. Makosa mengine Mahakama imempata na hatia na imempa adhabu ya kumwachia huru kwa masharti kuwa asifanye kosa lolote ndani ya mwaka mmoja (conditional discharge).
Lakini je, watu walionyanyaswa na Sabaya waende wapi kudai haki zao? Wapo waliopigwa, waliodhulumiwa mali, na wengine kugeuzwa vilema na Sabaya. Kwa mfano Diwani mstaafu wa kata ya Narumu (Chadema), Bw.Nickodemo Mbowe, yeye na mwanae walivunjwa miguu na Sabaya. Oktoba 2020 Sabaya na genge lake walivamia nyumbani kwa Nickodemo na kumpiga wakimtuhumu kuchapisha kura feki.
Akaambiwa aoneshe mtambo wa kuchapishia kura ulipo. Akasema hana mtambo wowote. Sabaya akapekua nyumba akakuta laptop akavunja, akakuta TV akavunja, kisha wakampiga mzee Nickodemo na kumvunja mguu. Mwanae alipojaribu kumuokoa baba yake nae akapigwa na kuvunjwa mguu. Dogo alipoonekana mbishi akakatwa sikio. Nyumba nzima ikatapakaa damu. Familia ikaomboleza, kijiji kizima cha Narumu kikaomboleza. Lakini wafuasi wa Sabaya wakamsujudu na kumtukuza wakimwita "Jenerali"
Leo Nickodemo na mwanae wamebaki na ulemavu wa kudumu. Kila wanapotizama vilema vyao wanamkumbuka Sabaya. Kijana amepata ulemavu wa kusikia. Upepo ukivuma kwake ni mateso. Lakini mtesi wao ameachiwa huru kwa kigezo cha kukiri.
Kukiri hakuondoi hatia, kukiri hakukufanyi uwe msafi, kukiri hakubadilishi yaliyotokea. Kukiri kunasaidia Mahakama iweze kukuhukumu kwa haki bila kuhitaji upelelezi wa ziada. Ni ajabu mtu anakiri, badala ya kufungwa anasamehewa.
Eti tumemsamehe kwa masharti ya kutokufanya kosa ndani ya mwaka mmoja.! Nonsense kabisa. Basi toeni fursa kwa majambazi wote waliopo magereza, wakikiri muwaachie huru kwa masharti hayohayo mliyompa Sabaya. Fanyeni ujanja-ujanja tu lakini msisahau yupo Hakimu asiyeweza kufanyiwa ujanja. Jina lake ni YEHOVAH. Yeye hana "plea bargaining". Anaweza kuingilia kati na kuamua ugomvi kama alivyoamua 2021. Hamjifunzi tu??
CCM ni Chama Cha Mataahira na wewe ni taahiraUsilete ujinga wa chadema toka kwangu pepo we
Ulimbukeni tu huo wa kutaka mahakama kutenda unavyotaka.Justice. Inafariji kuona alokutendea ubaya yuko gerezani. Hivyo tuu.