Sabaya amekuwa mfano mzuri wa wanaojifanya kutumwa na mamlaka za juu. Wengine kaeni mguu sawa

Wewe ni mpumbavuu original watu kama singasinga na rugema... unasema walisingiziwa wewe ni pumbavuu la mwisho ,be usisadi wa rada ,watu kubeba pesa kwenye rumbesa
Mbona wamekosa ushahidi, kwann wamewaachia.
 
Watakuwa na vichwa vigumu tu. ..hawakuona kwa Hamza!!! Yaan ukishakuwa used YOU ARE JUST WAITING FOR YOUR FUNERAL
 
Mbona wamekosa ushahidi, kwann wamewaachia.
Hukoo mmoja hao ,ushahidi gani wakati sheria zipo wazi pesa kupeana kwa mtindo ule ni usisadi unajua sheria ya mfanyakazi wa serikali kupewa zawadi na sheria za pesa zilivyo ? Sasa hivi ni MAFISADI LEGACY siyo wakati wa magufuli ilikuwa ni WAZARENDO LEGACY
 
Kwa akili yako hizo pesa ni hao wawili pekee ndo walichukua.
Sheria za dabo standard hizo
 
Bila shaka hata Kingai alitumwa
 
Ulinzi upi mkuu huo ni ulinzi ambao anapewa jambazi yeyote hata kama uliiba buku kwa kutumia silaha.
 
niliwaonya waache siasa za chuki
 
Amepata alichokuwa anapenda
 
Hovyo
 
Yaani ni raha hureeeeeeee, 2025 CCM ijipange kutoa rushwa. Pamoja na kuwa Sabaya kwa kweli alikeuka miiko ya utumishi, ila kwa kazi alizofanya za kufifisha upinzani alipaswa CCM wamlinde, ila sasa ndiyo basi. Kitakachoendelea sasa ni wateuliwa kupiga (hasa wale ambao ziyo wazalendo). Na hii trendi ya uharamia wa Sabaya hayupo peke yake, kwenye taasisi nyingi za umma kuna ka kikundi kaliko tumia jina na ukali wa Dkt Magufuli kujifanya wametumwa then wanaomba rushwa ili wasifikishe tuhuma zao kwa rais, kitu ambacho watu wengi waliogopa sana kufikishwa kwa Dkt Magufuli hivyo ilibidi watoe rushwa. Kwa hii issue Sabaya katumika kama kafala ila waliofanya huo uovu wanaweza kuwa wengi sana. Ndiyo maana Mama anapotoa maagizo yake awe specific sana lasivyo watafanya kama kwa Dkt Magufuli (mfano kuna kipindi Dkt Magufuli alipokuwa waziri wa mifugo na akapiga marufuku mifugo kuhama hama, basi kuna njemba walijitokeza tokea pande zote tiss polisi wakafanya msako kuna msukuma alipoteza ng'ombe mia 600, na walitumia kauli ya waziri). In short vetting inahitaji irekebishwe, irudi kama zamani yaani vetting siyo miezi iwe miaka na pawe na pool ya watu waliofanyiwa vetting kurahisha kazi za uteuzi.
 
siku mkiweza kuwaelewa ccm,ndio siku hiyo hiyo wanatoka madarakani.

kwa sasa bado mno,kalimeni mihogo tu.
ni mjinha kiwango duni kabisa anayeweza kuipomngeza mahakama kwamba imetenda haki kwa kesi ya sabaya.
 
Hapa umeongea mkuu... Kuna namna naiona hii kesi ni mipango tu ya watu fulani, kama unavyosema ni kisasi tu japo hatuelewi ni cha haki ama dhuluma
 
Wewe ni mpumbavuu original watu kama singasinga na rugema... unasema walisingiziwa wewe ni pumbavuu la mwisho ,na ufisadi wa rada ,watu kubeba pesa kwenye rumbesa
kwa hukumu ya sabaya kumbe ni mara mia ukakwapua mabilion ya hela serikalini kuliko kufungwa kizembe namna hiyo
 
Wengine wajiandae wanaokuwa wanawatendea uovu wananch na kusingizia mamlaka za juu kuwatuma wajue jinai haifutiki ipo siku mkono wa sheria utawafikia tu
 
Wanaweka watu mguu sawa kumbe siku yao ya kukaa mguu sawa inakuja😁😁😁
 
Alionywa sana huyo
Na Lema pia alikuonya kama mdogo wake ila alikuwa na kibri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…