Mbona wamekosa ushahidi, kwann wamewaachia.Wewe ni mpumbavuu original watu kama singasinga na rugema... unasema walisingiziwa wewe ni pumbavuu la mwisho ,be usisadi wa rada ,watu kubeba pesa kwenye rumbesa
Hukoo mmoja hao ,ushahidi gani wakati sheria zipo wazi pesa kupeana kwa mtindo ule ni usisadi unajua sheria ya mfanyakazi wa serikali kupewa zawadi na sheria za pesa zilivyo ? Sasa hivi ni MAFISADI LEGACY siyo wakati wa magufuli ilikuwa ni WAZARENDO LEGACYMbona wamekosa ushahidi, kwann wamewaachia.
Kwa akili yako hizo pesa ni hao wawili pekee ndo walichukua.Hukoo mmoja hao ,ushahidi gani wakati sheria zipo wazi pesa kupeana kwa mtindo ule ni usisadi unajua sheria ya mfanyakazi wa serikali kupewa zawadi na sheria za pesa zilivyo ? Sasa hivi ni MAFISADI LEGACY siyo wakati wa magufuli ilikuwa ni WAZARENDO LEGACY
🤣🤣🤣 eti alijiongezaAlijiongeza.
Bila shaka hata Kingai alitumwaUtetezi pekee alioweza kuutoa mahakamani kijana wetu Sabaya ni kuwa alitumwa na hata aliyekua makamu wa raisi (Na sasa ni raisi) alikua akifahamu. Hii ina maana Sabaya alikubali kufanya matendo yote yake aliyoshitakiwa nayo.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi.
Ulinzi upi mkuu huo ni ulinzi ambao anapewa jambazi yeyote hata kama uliiba buku kwa kutumia silaha.Sabaya anasikitisha sana, it is accumulated behavioral characters toka akiwa chuo pale ambapo hakumaliza na kaenda nazo hadi kwenye uongozi huko. Ila naona bado anatembea na bodyguards wakimlinda kama enzi zile DC walinzi au akiwa kitaa na mabaunsa wake tofauti yake tu hapo ni ulinzi kwa muktadha tofauti
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
niliwaonya waache siasa za chukiUtetezi pekee alioweza kuutoa mahakamani kijana wetu Sabaya ni kuwa alitumwa na hata aliyekua makamu wa raisi (Na sasa ni raisi) alikua akifahamu. Hii ina maana Sabaya alikubali kufanya matendo yote yake aliyoshitakiwa nayo.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi.
Amepata alichokuwa anapendaSabaya anasikitisha sana, it is accumulated behavioral characters toka akiwa chuo pale ambapo hakumaliza na kaenda nazo hadi kwenye uongozi huko. Ila naona bado anatembea na bodyguards wakimlinda kama enzi zile DC walinzi au akiwa kitaa na mabaunsa wake tofauti yake tu hapo ni ulinzi kwa muktadha tofauti
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
HovyoKESI YA SABAYA NI KESI YA KISASI TU ,ILA KESI ZA KISASI ZIMEGAWANYIKA MAKUNDI MAWILI na kundi la kisasi cha haki kimegawa nyika makundi mawili
1) KISASI CHA HAKI
a)kisasi cha haki cha kinafiki
b)kisasi cha haki kisicho cha kinafiki
2) KISASI KISICHO CHA HAKI
Yaani ni raha hureeeeeeee, 2025 CCM ijipange kutoa rushwa. Pamoja na kuwa Sabaya kwa kweli alikeuka miiko ya utumishi, ila kwa kazi alizofanya za kufifisha upinzani alipaswa CCM wamlinde, ila sasa ndiyo basi. Kitakachoendelea sasa ni wateuliwa kupiga (hasa wale ambao ziyo wazalendo). Na hii trendi ya uharamia wa Sabaya hayupo peke yake, kwenye taasisi nyingi za umma kuna ka kikundi kaliko tumia jina na ukali wa Dkt Magufuli kujifanya wametumwa then wanaomba rushwa ili wasifikishe tuhuma zao kwa rais, kitu ambacho watu wengi waliogopa sana kufikishwa kwa Dkt Magufuli hivyo ilibidi watoe rushwa. Kwa hii issue Sabaya katumika kama kafala ila waliofanya huo uovu wanaweza kuwa wengi sana. Ndiyo maana Mama anapotoa maagizo yake awe specific sana lasivyo watafanya kama kwa Dkt Magufuli (mfano kuna kipindi Dkt Magufuli alipokuwa waziri wa mifugo na akapiga marufuku mifugo kuhama hama, basi kuna njemba walijitokeza tokea pande zote tiss polisi wakafanya msako kuna msukuma alipoteza ng'ombe mia 600, na walitumia kauli ya waziri). In short vetting inahitaji irekebishwe, irudi kama zamani yaani vetting siyo miezi iwe miaka na pawe na pool ya watu waliofanyiwa vetting kurahisha kazi za uteuzi.Utetezi pekee alioweza kuutoa mahakamani kijana wetu Sabaya ni kuwa alitumwa na hata aliyekua makamu wa raisi (Na sasa ni raisi) alikua akifahamu. Hii ina maana Sabaya alikubali kufanya matendo yote yake aliyoshitakiwa nayo.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi.
Ole😅 Ole Sabaya
KESI YA SABAYA NI KESI YA KISASI TU ,ILA KESI ZA KISASI ZIMEGAWANYIKA MAKUNDI MAWILI na kundi la kisasi cha haki kimegawa nyika makundi mawili
1) KISASI CHA HAKI
a)kisasi cha haki cha kinafiki
b)kisasi cha haki kisicho cha kinafiki
2) KISASI KISICHO CHA HAKI
kwa hukumu ya sabaya kumbe ni mara mia ukakwapua mabilion ya hela serikalini kuliko kufungwa kizembe namna hiyoWewe ni mpumbavuu original watu kama singasinga na rugema... unasema walisingiziwa wewe ni pumbavuu la mwisho ,na ufisadi wa rada ,watu kubeba pesa kwenye rumbesa
Eti alikua mtetezi hawa jamaa wamechanganyikiwaAlitumwa awapige watu,awateke watu,alawiti watu,ashiriki group sex,above all apore Mali za watu
Wengine wajiandae wanaokuwa wanawatendea uovu wananch na kusingizia mamlaka za juu kuwatuma wajue jinai haifutiki ipo siku mkono wa sheria utawafikia tuUtetezi pekee alioweza kuutoa mahakamani kijana wetu Sabaya ni kuwa alitumwa na hata aliyekua makamu wa raisi (Na sasa ni raisi) alikua akifahamu. Hii ina maana Sabaya alikubali kufanya matendo yote yake aliyoshitakiwa nayo.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi
Ha ha ha inasemekana anajenga pagale badae aje kuwa mmiliki wa KanisaBado yule mporaji mwingine mwenye 'kithembe'