Sabaya amekuwa mfano mzuri wa wanaojifanya kutumwa na mamlaka za juu. Wengine kaeni mguu sawa

Kubalance haya matukio Makonda na Hapi wanatakiwa Mahakama.
 
Hapa ninakubaliana kuwa misingi ya vetting ifuatwe na fedha na logistiv zitolewe kikamilifu kwa ajili ya vettin ya muda mfupi na mrefu na ile endelevu kwa kila kiongozi lakini pia matokeo ya vetting yaheshimiwe na mamlaka aidha vetting zisibebe fitna majungu na bila kutumika vibaya kwa kukomoa watu
 
Kwa akili yako hizo pesa ni hao wawili pekee ndo walichukua.
Sheria za dabo standard hizo
Ndiyo maana wachukuliwe wote hatua hao wawili ndiyo vichwa wa ilo tukio.kumbe mnajua pesa zilichukuliwa .....sasa mbona mnasema ushahidi ..kima nyinyi
 
Hujui kesi ya kisasi cha haki ya kinafiki ni za jinsi gani ? Kasome biblia kuhusu mfalme Daudi alipo letewa kesi ya mtu na kondoo wake nini kilitokea ? Yaani unahukumu hukumu ya haki ila uliyo yafumbia macho au uliyo yatenda wewe ni mabovu kuliko uliyo ya hukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…