Sabaya enzi zake mtaani akila maisha na warembo

Sabaya enzi zake mtaani akila maisha na warembo

Kweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
Hujielewi
 
Mkuu wa zamani wa wilaya ya Hai, enzi akila maisha sehemu mbalimbali katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha. Ambapo kama kawaida alikuwa anaambatana na wapambe wake na warembo. Na kama kawaida ilikuwa ni mwendo wa kula Bata bila kulipa..View attachment 1823510
Watoto wa kichagga hao hakuna hata aliyekwenda jela kumjulia khali. Umenielewa dudumizi 09
 
Kweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
Lakini yuko huru kwenye nchi yake...
 
Mkuu wa zamani wa wilaya ya Hai, enzi akila maisha sehemu mbalimbali katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha. Ambapo kama kawaida alikuwa anaambatana na wapambe wake na warembo. Na kama kawaida ilikuwa ni mwendo wa kula Bata bila kulipa..View attachment 1823510
SaFI SANA saana sana he lived his life, he got nothing to regret kwa upande huu. Safi kabisaaa, aliutumia vyema ujana na nafasi yake sema tu alikua mwehu. Wanawake buana dah
 
Kweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
We mi si mshabiki wa Mbowe ila hawezi kufikia kuomba lift kwa mtu yeyote yule,usafiri atakua nao na anao wa kutosha tu.
Alipokua kub alikula haswa na ule ukuda wa kutembea na mibaunsa kina power et all wanadandia gari huku wananinginia kama makomando akachemka ndo mana Magu akalala nae mbere kwa msaada wa Sabaya.
Magu jembe aliona hatuwezi kukupa kila kitu alafu unatuvimbia.
 
Kweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
mbowe ni mpambanaji amezaliwa na hela na ni kiongozi wa kuigwa ,huwezi kumfananisha na huyo jambazi ambaye anakupiga paipu huko halafu unakuja kumsifia Jf
 
mbowe ni mpambanaji amezaliwa na hela na ni kiongozi wa kuigwa ,huwezi kumfananisha na huyo jambazi ambaye anakupiga paipu huko halafu unakuja kumsifia Jf
Kuna hoja zingine yaani unashindwa mtu umjibuje.
 
Sijawahi mwona Masai pimbi Kama Sabaya ,pamoja ujambazi Kama wote na bata hana hata nyumba
 
IMG_7061.jpg
 
Back
Top Bottom