Sabaya enzi zake mtaani akila maisha na warembo

Hujielewi
 
Watoto wa kichagga hao hakuna hata aliyekwenda jela kumjulia khali. Umenielewa dudumizi 09
 
Lakini yuko huru kwenye nchi yake...
 
SaFI SANA saana sana he lived his life, he got nothing to regret kwa upande huu. Safi kabisaaa, aliutumia vyema ujana na nafasi yake sema tu alikua mwehu. Wanawake buana dah
 
We mi si mshabiki wa Mbowe ila hawezi kufikia kuomba lift kwa mtu yeyote yule,usafiri atakua nao na anao wa kutosha tu.
Alipokua kub alikula haswa na ule ukuda wa kutembea na mibaunsa kina power et all wanadandia gari huku wananinginia kama makomando akachemka ndo mana Magu akalala nae mbere kwa msaada wa Sabaya.
Magu jembe aliona hatuwezi kukupa kila kitu alafu unatuvimbia.
 
mbowe ni mpambanaji amezaliwa na hela na ni kiongozi wa kuigwa ,huwezi kumfananisha na huyo jambazi ambaye anakupiga paipu huko halafu unakuja kumsifia Jf
 
mbowe ni mpambanaji amezaliwa na hela na ni kiongozi wa kuigwa ,huwezi kumfananisha na huyo jambazi ambaye anakupiga paipu huko halafu unakuja kumsifia Jf
Kuna hoja zingine yaani unashindwa mtu umjibuje.
 
Sijawahi mwona Masai pimbi Kama Sabaya ,pamoja ujambazi Kama wote na bata hana hata nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…