Sabaya enzi zake mtaani akila maisha na warembo

Mbona una akili za kipuuzi hivi kama dogo wa chekechea?!😬
 
Wazungu wanasema "Success has many fathers, Failure is an orphan"

Ukiwa na mafanikio, machawa wanajaa.

Hivi Bashite birthday yake siku hizi imeenda wapi, maana hata Wasafi wako kimya!

Yaani bashite hata sholo mwamba na man fongo hawawezi kumpost tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…