Sabaya kaiaibisha Ikulu kwa kuihusisha na uhalifu alioshitakiwa nao

Sabaya kaiaibisha Ikulu kwa kuihusisha na uhalifu alioshitakiwa nao

Huyo Msukuma alikuwa mshamba aliyepewa madaraka ma dola si wananchi. Hivyo akaamua kuwa jambazi wa kupora mali za watu!
 
Je deep state watamvumilia Sabaya aendeleze likembe za kuwataja kwa majina na kazi alizotumwa na hao?
Niliwahi kusikia shahidi anapoteza sauti wakati akitoa ushahidi mahakamani Kisutu.
 
Nzidi kuamini kuwa dikteta JPM yuko ktk moto wa milele kwan niliwai kusikia usalama wa taifa kuna watu wenye kazi ya kuwalawiti wanaume kama sehemu ya mateso vitendo ambavyo sabaya alikuwa akivifanya pia vya kuwalawiti wasichana.
Hawa ndiyo walikuwa wanaoitwa WAZALENDO
 
Hizi tuhuma ambazo zinatolewa na Sabaya kuwa mamlaka ya uteuzi ilihusika kumpa kazi maalumu kisha tuhuma za uhalifu zikatokea ni aibu kwa taifa letu.

Ikulu ambayo ndio mahala pa kuonyesha mamka ya wananchi kuwageuka wananchi na kumtuma Sabaya kufanya uhalifu ni aibu kubwa na fedheha kwa taifa letu.

Yaani wananchi wanapiga kura kisha kuteua mtu ambaye anapewa mamlaka ya kuwa rais ili aongoze taifa kwa niaba ya watanzania wote, alafu anatuma mtu au watu maalulu ili kwenda kutesa na kupora kwa kutumia siraha.

Hii ni aibu na fedheha kwa taifa let
hao ndio viongozi wetu
 
Mpunguzieni raisi nguvu kubwa alionayo na pia mifumo imara ya nchi, kama kiongozi anaweza toa oda ya operetiona za kihuni kufanyanyika bila kufuata taratibu na sheria kuna tatzo kwenye vyombo vya ulinzi, washauri wa raisi na usalama wa taifa, vitu vingine ni aibu kwa nchi
shida ni katiba yetu,ndio maana imekuwa ni mwiba sana kwa viongozi wengi kukubali katiba mpya
 
Tatizo la Magu ilikuwa ni kutoa order: "...fanya lolote uwezalo ili mradi....". Hii ilifanya watu wafanye kila kitu ili mradi mzee anaridhika. Kweli wengi wameumia hata kupoteza maisha kwa mtindo huu.
ndio maana MUNGU MWENYEZI akamtwaa early in the morning ili asiendelee na maovu yake kwa walio wema
 
Mi nasubiri kusikia Ikulu imekanusha ( katibu mkuu kiongozi) au msemaji wa Rais. Na mkuu wa gereza apewe ujumbe huu wa kutoichafua serikali
 
Hayo mataifa duniani hayatumi watu vilaza kufanya hizo kazi, wanatumwa watu waliopikwa na wakaiva kwenye hizo ishu, hawaachi hata tone la ushahidi! Sasa jamaa yako marehemu alikuwa anaokota okota vilaza anawatuma kazi sensitive, mwisho wake wanakwapua hata simu ya 35,000!!! JK, Mkapa, Mwinyi, Nyerere wote walifanya operations maalum, hamna iliyo leak kizembezembe!! Hili fala lako lilikuwa linalala hotelini halilipi, likidaiwa linawatisha watu kuwa anaweza wafanya chochote sababu yeye ndiyo mkuu wa wilaya pekee anayeweza mpigia simu Magu muda wowote na akapokea, Acha kutetea ujinga..
Hoja yangu ni kuwa haya mambo yanafanywa na serikali zote duniani, not otherwise.
 
MADARAKA YA RAIS NI MAKUBWA MNO! Sijui kwanini hili somo linagoma kueleweka! Siku akitokea "mwehu" kwa Katiba hii tutalia na kusaga meno! Na hata asipotokea "mwehu", kwa Katiba hii tusahau neno MAENDELEO.
Alishatokea, labda atokee mwehu mwingine....
 
Iko wazi kuwa Magu alikuwa kiongozi muovu, hao akina Sabaya wanadhihirisha tu kile kinachofahamika na wengi. Ukweli ni kuwa nchi hii iliangukia mikononi mwa mtu dhalimu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika
Mbona wachaga ndio mlikuwa mnapiga sana kelele? wachaga wanapenda sana sana biashara ya magendo ndio walimwona Sabaya na Magufuri wabaya,atusikii hizo kelele katika mikoa mingine isipokuwa Moshi na Kilimanjaro, Wachaga wacheni wizi, hata akija Rais mwingine asiyependa wizi mtapata shida
 
Mbona wachaga ndio mlikuwa mnapiga sana kelele? wachaga wanapenda sana sana biashara ya magendo ndio walimwona Sabaya na Magufuri wabaya,atusikii hizo kelele katika mikoa mingine isipokuwa Moshi na Kilimanjaro, Wachaga wacheni wizi, hata akija Rais mwingine asiyependa wizi mtapata shida
He, we vipi. Sasa wachaga na hii mada wapi na wapi
 
Unadhani wanaishi kwa kutegemea serikali ? Ni watanzania wanaofuata sheria za nchi. Kwanini unadhani wanashangilia? Kwani kuna ukatili waliofanyiwa unaoujua?
 
Iko wazi kuwa Magu alikuwa kiongozi muovu, hao akina Sabaya wanadhihirisha tu kile kinachofahamika na wengi. Ukweli ni kuwa nchi hii iliangukia mikononi mwa mtu dhalimu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika
Katiba yetu ndio inayoruhusu huo mwanya wa mtu kufanya uovu na kwa namna ccm ilipofikia Sasa haiwezi kuongoza watu kwa hoja na ushawishi Bali Ni nguvu na umwagaji damu TU ndio njia pekee iliyobaki. Hivyo Basi hata huyu Samia ni lazima awe muovu, katili Ili aweze kuongoza kupitia ccm.
Kwa ufupi watanzania majira yamekaribia Sana maana mwamba wetu mbowe yupo ktk hatua ya mwisho kabisa ya kuunganisha waya watanzania tuwe huru ila maumivu yataongezeka Sana siku za usoni
 
Halafu mataifa yote duniani yanafanya haya mambo, tofauti ni kuwa viongozi wao wana uzoefu na hivyo hawaruhusu mambo kama haya yawe wazi tofauti na sisi ambao tuna mkuu mweupe kichwani.
Kilaza mkubwa wewe
 
Mbona wachaga ndio mlikuwa mnapiga sana kelele? wachaga wanapenda sana sana biashara ya magendo ndio walimwona Sabaya na Magufuri wabaya,atusikii hizo kelele katika mikoa mingine isipokuwa Moshi na Kilimanjaro, Wachaga wacheni wizi, hata akija Rais mwingine asiyependa wizi mtapata shida

Hapa ni jf sio group la whatsapp la Wachagga. Sio kila aliye humu ndani na kutomkubali kiongozi muovu ni mchaga.
 
Back
Top Bottom