Sabaya kesho kujulikana kama ana kesi ya Kujibu ama la!!

Aisee misukule haitaisha nchi hii labda ziwa Tanganyika likauke yaani huyu nae anajiita Nabii
Haahaahaaaa Aisee Dunia haitakuja Isha manyumbu
Chaaaaaaaaaaaaa!
😁😁😁😁😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Atachomoka huyo hakuna kesi hapo
Kama kunyooshwa kanyooshwa

Ova
Mkuu vipi naomba mrejesho ashachomoka De General Ole Sabaya kama ulivyotayabanishq jana?
"Kweli Kila enzi na kitabu chake" ... alisikika mtu mmoja huku akitokwa na chozi zito

Niki report kutoka Hai Kilimanjaro mimi ni georgeeeeeee Maratu wa iiiiiiitttttttvvvvviiiiiiii
 
Tupe mjesho mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…