Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha

Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
6,710
Reaction score
9,063
Ole Sabaya anastahili kung'olewa kwenye nafasi ya U-DC hafai na hatoshi!!!

Huyu mtu amejaa uhuni, hana maadili, hana nidhamu na anatumia madaraka aliyopewa vibaya kwa kunyanyasa raia.

Rais MAGUFULI kama Mamlaka ya Uteuzi tuondolee huyu mhuni, kibaka na gaidi wa kisiasa!
 
Ole Sabaya anastahili kung'olewa kwenye nafasi ya U-DC hafai na hatoshi!!!
Huyu mtu amejaa uhuni, hana maadili, hana nidhamu na anatumia madaraka aliyopewa vibaya kwa kunyanyasa raia.
Rais MAGUFULI kama Mamlaka ya Uteuzi tuondolee huyu mhuni, kibaka na gaidi wa kisiasa!
Mmeshindwa kumdhibiti nyie kama wanaume? Nyie si huwa mnajisifia watu wa R Chuga? Pambaneni na khali yenu hakuna anayetumbuliwa hapo! Kwanza mkulu mwenyewe anayapenda sana madude ya hivyo!
 
Ole Sabaya anastahili kung'olewa kwenye nafasi ya U-DC hafai na hatoshi!!!
Huyu mtu amejaa uhuni, hana maadili, hana nidhamu na anatumia madaraka aliyopewa vibaya kwa kunyanyasa raia.
Rais MAGUFULI kama Mamlaka ya Uteuzi tuondolee huyu mhuni, kibaka na gaidi wa kisiasa!
Mmeshindwa kumdhibiti nyie kama wanaume? Nyie si huwa mnajisifia watu wa R Chuga? Pambaneni na khali yenu hakuna anayetumbuliwa hapo! Kwanza mkulu mwenyewe anayapenda sana madude ya hivyo!
 
Mmeshindwa kumdhibiti nyie kama wanaume? Nyie si huwa mnajisifia watu wa R Chuga? Pambaneni na khali yenu hakuna anayetumbuliwa hapo! Kwanza mkulu mwenyewe anayapenda sana madude ya hivyo!
Apelekwe Tarime akakutane na Bwana Zakaria huko
 
Labda Diwani alikataa kutii amri bila shuruti.
 
Ole Sabaya anastahili kung'olewa kwenye nafasi ya U-DC hafai na hatoshi!!!
Huyu mtu amejaa uhuni, hana maadili, hana nidhamu na anatumia madaraka aliyopewa vibaya kwa kunyanyasa raia.
Rais MAGUFULI kama Mamlaka ya Uteuzi tuondolee huyu mhuni, kibaka na gaidi wa kisiasa!
Kichapo kina week 2 sasa wewe ndio unaleta habari hadi Diwani wetu wa Sombetini keshapona.
 
Back
Top Bottom