Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha

Mods futeni hii ujinga,ni kuchafua watu
Huyu jamaa ni tabia yake ana matukio mengi na yote ni yakijinga kijinga alisha shikwa Arusha akijifanya usalama wa taifa ,mail stone alisha kula kaondoka bila kulipa aliwasingizia watu wamevunja reli,akija Arusha tabia yake ni ubabe kwahiyo hili siyo geni ,watu wanamvungia tu,lile tukio la kumpiga dogo risasi ni kweli alivuta mkwanja watu wakatulia ,amesha zoeaya hakuna wa kumuambia kitu,ila amesahau Mungu akiamua kukuanika peupe huna ujanja
 
Uliona wivu tu kijana pambana utoke kwenye nafasi za chini kwa kupambana sio majungu.
Mm nimekah nae mexa moja kula chskula Cha serekaali ila kiukweli jamaaa huy anajidai na anamajigambo mno hafai hata ukatibu tarafaaa mnyanyasaji sana
 
Umekula? Au njaa inakusumbua kwa Ubongo?
 
Huyo ni Kiboko, na atapewa Mkoa kabisa

Mfalme anahitaji watu wanaoenda sawasawa na tabia pamoja na kasi yake
 
Hao ndo watu anaowapenda mwenyekiti wao wa chama na katibu kiongozi wa sasa, hutosikia wakikemea
 
Hakuwa mtu mbaya alpokua president unversty..... SJui kmempata nn sabaya kama kawa hvo[emoji43][emoji43][emoji43]
 
Kwa historia ya matukio yake huyo jamaa hilo ni jambo la kawaida sana kwake kufanya.
Anatafuta kuteuliwa kuwa RC kwa kutumia mbinu za Makonda aliyemtwanga Waziri Mkuu mstaafu kupata nafasi hiyo. Awamu ya Tano inatawala kwa mabavu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…