Mm nimekah nae mexa moja kula chskula Cha serekaali ila kiukweli jamaaa huy anajidai na anamajigambo mno hafai hata ukatibu tarafaaa mnyanyasaji sanaSabaya ni Bashite type. Huyu jamaa anajiona sana yupo juu ya sheria na kupiga piga watu ndio kawaida yake.
Kwa historia ya matukio yake huyo jamaa hilo ni jambo la kawaida sana kwake kufanya.Umeamini kabisa Kapiga Diwani mleta mada naona kanyimwa posho mahali
Mbona wewe una historia ya kuuza vocha za 0712 Buguruni? Au wamekupakazia?Kwa historia ya matukio yake huyo jamaa hilo ni jambo la kawaida sana kwake kufanya.
Huyu jamaa ni tabia yake ana matukio mengi na yote ni yakijinga kijinga alisha shikwa Arusha akijifanya usalama wa taifa ,mail stone alisha kula kaondoka bila kulipa aliwasingizia watu wamevunja reli,akija Arusha tabia yake ni ubabe kwahiyo hili siyo geni ,watu wanamvungia tu,lile tukio la kumpiga dogo risasi ni kweli alivuta mkwanja watu wakatulia ,amesha zoeaya hakuna wa kumuambia kitu,ila amesahau Mungu akiamua kukuanika peupe huna ujanjaMods futeni hii ujinga,ni kuchafua watu
Mm nimekah nae mexa moja kula chskula Cha serekaali ila kiukweli jamaaa huy anajidai na anamajigambo mno hafai hata ukatibu tarafaaa mnyanyasaji sana
Umekula? Au njaa inakusumbua kwa Ubongo?Huyu jamaa ni tabia yake ana matukio mengi na yote ni yakijinga kijinga alisha shikwa Arusha akijifanya usalama wa taifa ,mail stone alisha kula kaondoka bila kulipa aliwasingizia watu wamevunja reli,akija Arusha tabia yake ni ubabe kwahiyo hili siyo geni ,watu wanamvungia tu,lile tukio la kumpiga dogo risasi ni kweli alivuta mkwanja watu wakatulia ,amesha zoeaya hakuna wa kumuambia kitu,ila amesahau Mungu akiamua kukuanika peupe huna ujanja
Huyo ni Kiboko, na atapewa Mkoa kabisaOle Sabaya anastahili kung'olewa kwenye nafasi ya U-DC hafai na hatoshi!!!
Huyu mtu amejaa uhuni, hana maadili, hana nidhamu na anatumia madaraka aliyopewa vibaya kwa kunyanyasa raia.
Rais MAGUFULI kama Mamlaka ya Uteuzi tuondolee huyu mhuni, kibaka na gaidi wa kisiasa!
DC Sabaya katoa kipigo cha mbwa Koko kwa Diwani akitumia mabaunsa au walinzi wake....!!!!
Labda mleta mada ndo diwani mwenyewe amepona sasa akaona atupe taarifa 🤣🤣Kichapo kina week 2 sasa wewe ndio unaleta habari hadi Diwani wetu wa Sombetini keshapona.
Huyu alieandika hapa ni kibaka mmoja wa mbowe ameona sasa njaa imesogea kichwani anazusha uzushi.Labda mleta mada ndo diwani mwenyewe amepona sasa akaona atupe taarifa 🤣🤣
MhmhmhSabaya ni Bashite type. Huyu jamaa anajiona sana yupo juu ya sheria na kupiga piga watu ndio kawaida yake.
Anatafuta kuteuliwa kuwa RC kwa kutumia mbinu za Makonda aliyemtwanga Waziri Mkuu mstaafu kupata nafasi hiyo. Awamu ya Tano inatawala kwa mabavu!Kwa historia ya matukio yake huyo jamaa hilo ni jambo la kawaida sana kwake kufanya.