Sabaya ni ushahidi wa Taifa lilikokuwa linaelekea

Hivi mkuu mbona hueleweki??

Kuna mahali nimeona unaponda kuhusu sabaya kufungwa, sasa hivi tena unageuka!![emoji849][emoji849]

Yaan we upepo unakoelekea[emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wapi nimeponda Sabaya kutiwa nguvuni..!!! Au hata kusoma kiswahili ni shida.
 
Kaka taifa lilishageuziwa kibla, hofu kwa kila MTU, wanaharakati wa kujitegemea walitukana kila mtu Na hapakua Na pa kushitaki, ulinzi kila sehemu, askari hawakuata sheria za barabarani wakageuka VIP eti kila wakati wako kwenye mission nyeti, siasa hakuna, chaguzi za waliokwenda kuunga juhudi zilikomba hela za watumishi wa umma, na wagombea wa upinzani wote ghafla wakageuka ngumbaro wasiojua kujaza fomu za kuomba kuteuliwa hivyo kustahili kuenguliwa wote. Wale waliosema atake asitake tutamuongezea muda nao hakuna aliyekaripiwa wala kupoteza kishikizo cha shati.
 
Wamefurukuta wee mara Mkapa puu! Kijazi Puu! Jiwe Puu!! Sabaya puu! Mungu ameanza na wale Extremist kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…