Umemjibu kwa hekima sana. Kama ni muelewa atakuelewa, ila kama ni wale waimba nyimbo, hawezi kukuelewa.Yawezekana kulikuwa na sababu ya kwa nini TAKUKURU haikumchunguza wakati huo na sasa ni wakati muafaka kumchunguza na bila shaka ikibainika ni innocent atakuwa huru.
Anaanzia wapi kupangua.Wamempania kweli...
sijui akipangua kesi zote jamaa watahama nchi!!?
Kwenye ushahidiAnaanzia wapi kupangua.
Kesi za ubakaji, ukishapita muda mrefu, ushahidi wake huwa mgumu. TAKUKURU na POLISI wanapokea taarifa nyingi lakini wanazifanyia uchunguzi na kubaki na zile wanazoweza ku establish case mahakamani.zile za kubaka wake za watu zimo au zenyewe bado.....
Pole sana mkuu. Ndiyo hivyo tena "kila zama na kitabu chake"Siasa tu hapa gamna kitu, hata akituumiwa kwa makosa 1000 ni siasa tu. Wenye akili timamu wananielewa.
Hata kama alikosea ila sio kwa makosa yote, na sidhani kama ni yeye mwenyewe
Hiyo ndo siasa. Nalo litapita.
Mku kuna kiongozi aliyemzid bashite kwa ujinga?Unapopewa cheo kumbuka kuwa umepewa dhamana na si kuwa karaha kwa wananchi. Sabaya aliiufanya mkoa wa Kilimanjaro kama wa kwake na akawa anafokafoka kama vile mkoa ni Mali yake hadi nikajiuliza haki iko wapi na kwa nini haya yanatokea. Makonda, Mrisho Gambo walikuwa na mapungufu wa kiuongozi ila ya Sabaya ni zaidi.
Tusubiri tuone ushahidi wa watu na utetezi wa Sabaya. Muda utatupa majibu.Kwenye ushahidi
Kila mtu atalipia uovu wakeWamemchukuwa Juma Raibu ambaye ni meya wa Moshi. Yule ambaye aliwavua madiwani barakoa. Inasemekana katajwa na Sabaya. Alikuwa miongoni mwa genge hilo la unyang’anyi. Jamaa wana pesa nyingi tu walikozipata ndo tunajuwa sasa.
Sijui. Cha msingi ni uchunguzi unaendelea.Wamemchukua kumpeleka wapi!?
Mayor Juma RaibuFormer Hai District Commissioner Lengai Ole Sabaya will on Friday appear in court for the second time to answer to six charges facing him.
However, the Tanzania Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Kilimanjaro Region says it is investigating seven other accusations facing him.
The new charges come after prominent businessman Elioth Lyimo lodged complaints to PCCB’s Director General Salim Hamduni.
Mr Hamduni told The Citizen over the phone that he had already sent his men to investigate the businessman’s claim of being robbed of Sh25 million by Sabaya.
Apart from that, the head of PCCB in the region, Ms Frida Wikesi, spoke of seven other accusations facing Sabaya and that they have already launched investigations.
Ms Wikesi said there were some people who were mentioned to have been accomplices of Sabaya in committing crime in the region including Moshi Municipal Mayor Juma Raibu, who is also under investigation and that if proved he was involved in the crime he would also be arraigned.
“As you heard, there are various unearthed accusations facing former Hai District Commissioner Lengai Ole Sabaya. “Investigations into his accusations are ongoing in Kilimanjaro Region and when completed and proved to be true he will be taken to court for justice to take its own course,” said Ms Wikesi.
According to her, investigations against all those, who have been mentioned to cooperate with Sabaya to commit crime in the region, are ongoing so that justice can be done for the victims.
“It is true His Lord Mayor of Moshi Municipality, Juma Raibu, has also been mentioned. Investigations into the accusations facing him are ongoing and if he is proved to be involved, then he will be taken to court to answer to the charges facing him,” said Ms Wikesi.
Speaking about the businessman, the PCCB regional boss admitted that he had gone to her office and queried over the matter and that evidence about the complaints was still being collected by the Bureau’s officers.
“We have already taken statements from this businessman and evidence is still being collected as investigations will reveal the truth of the matter,” insisted Mr Wikesi.
When sought, the businessman admitted to having been robbed of his cash by Sabaya and that he had already submmited all of his exhibits to PCCB including his bank statement showing he withdrew the money on February 2, 2020.
“It is true Sabaya took my money totalling Sh25 milioni as I have my bank documents that show transactions took place on February 2, 2020 and I have already presented my bank slips to PCCB. For now I can’t talk anything because all the information about how the incident took place I have already handed it over to PCCB,” said Mr Lyimo.
On June 4, this year, Sabaya and his five accomplices were for the first time appeared before the Arusha Resident Magistrate’s Court where six charges were read out against them before the court’s two different magistrates.
The charges, which included armed robbery, money laundering, economic sabotage and seeking and receiving bribe, are unbailable.
Credits: The Citizen
Speak the language??? Au ni direct translation "wanaojua"?Because the article is for those who know the language and not for me and you.
Tuliza kijambio hicho,huyo bwana wako wanamfokoa mbaya huko kisongo,kama vipi mpelekee kilainishi.Ujinga mtupu
Na itakuwa sherehe kubwa ule msambwanda utakavyopolelewa hapo mjini segadancenamwona makonda akiwa anaweka maji nywele... aisee Dar italipuka kwa shangwe mtoto wa mtukufu akipanda ngazi kuelekea kwa pirato.
Wewe kifutu unaambiwa huyo Mzee Lyimo alipita kote huko hadi kwa Waziri Mkuu lakini wote walimgwaya jambazi Sabaya kwa vile alikuwa analindwa na dhalim mwendazakeswali moja ninalo jiuliza,
kwa nini sasa watu ndio wajitokeze kumlalamikia? kwani wakati huo TAKUKURU haikuwepo?
aise haya maajabu ya Tanzania!!!
yaani hapo sasa vyonbo vyetu vinakaribisha majungu na fitina ndicho kitakacho endelee, na kwa mwendo huuu kila kiongozi lazima ataumia.
Ila ushauri wangu kwa Takukuru isikubali kupelekwa na maneno maneno ya majungu, ifanye kazi kwa weledi, kamwe isiendekeze maneno ya chuki na fitina, Majungu tupa kuleeeee!!! msipotezewe muda na rasilimali zenu kwa mambo ya kuokoteza na visasi.
In Tanzania, a person is innocent until proven guilty. I stand with Sabaya.Hivi wale vichaa waliojaribu kumtetea huyu Sabaya bado wapo?
Ina ubaya gani? Si official Lugha Kwa wanaoielewa?Good news! But why using Queen's language?