Mfanya biashara maarufu Mustafa Sabodo, amekua mwekezaji wa kwanza mzalendo aliyeamua kuwekeza jengo kubwa (parking)kuliko yote jijini Dar kwanza ajili ya parking pekee.
Jengo hilo lipo katika mtaa wa Indiraghandi.
Uwekezaji huu ni funzo kwa Serikali ya CCM na mifuko ya pensheni ambayo imeendelea kujenga majengo makubwa katikati na pembezoni ya jiji yasiyo na parking za kutosha (majengo yote mapya na ya zamani).
Jengo hilo lipo katika mtaa wa Indiraghandi.
Uwekezaji huu ni funzo kwa Serikali ya CCM na mifuko ya pensheni ambayo imeendelea kujenga majengo makubwa katikati na pembezoni ya jiji yasiyo na parking za kutosha (majengo yote mapya na ya zamani).