Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Chadema waliishajitakasa na kashfa ya ngono kwa Wabunge wa Viti Maalum?CUF Habari hebu jitakaseni kwanza na kashfa ya kuwa tawi la CCM, udini na ugaidi ndipo mjitokeze hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema waliishajitakasa na kashfa ya ngono kwa Wabunge wa Viti Maalum?CUF Habari hebu jitakaseni kwanza na kashfa ya kuwa tawi la CCM, udini na ugaidi ndipo mjitokeze hadharani
Ngono Kati ya Nani na Nani?Chadema waliishajitakasa na kashfa ya ngono kwa Wabunge wa Viti Maalum?
Ilo ni kosa la jinai umesharipoti polisi?
"Kwa kuwa CHADEMA imemtuma Mbunge Rhoda Kumchela kunitukana kwa kuwa tu nimehama chama na kujiunga na CUF Leo ndio maana nikaona na mie nitapike nyongo zote ili Watanzania waijue CHADEMA ni chama cha aina gani, nimetukanwa"-Sabrina Sungura.
Kuna hoja ya msingi hapa.Nimehama CHADEMA kwenda CUF ambako hakuna udini, Wabunge wa viti maalum CHADEMA tulikuwa 36 kwa ujumla wetu lakini Waislamu ni watano tu, huko Wilayani Waislamu wengi wanafanya kazi kubwa ya kukinadi Chama lakini ukifika kwenye uteuzi wanabaguliwa"
"Kwa kuwa CHADEMA imemtuma Mbunge Rhoda Kumchela kunitukana kwa kuwa tu nimehama chama na kujiunga na CUF Leo ndio maana nikaona na mie nitapike nyongo zote ili Watanzania waijue CHADEMA ni chama cha aina gani, nimetukanwa"-Sabrina Sungura.