Sabubu za Kuolewa nini nini hasa?

Sabubu za Kuolewa nini nini hasa?

BrainyChuo

Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
5
Reaction score
0
pexels-asiama-junior-6567672.jpg

Nilikutana na dada mmoja nilisoma nae ameolewa na kuachika mara nne na sasa yuko kwenye ndoa ya tano!
Shida ilianza pale nilipo muuliza mumewe mzima! yeye naye aliniuliza yupi ninayemzungumzia

Inawezekanaje mwanamke akaolewa na kuachika zaidi ya mara tano lakini wenzake hawajapata bahati hata ya kuwekwa ndani hata kwa wiki mbili

Wengine wanapiganiwa wakati wengine hawana hata wa kumpa salamu

Wengine wanakataa posa kadhaa wengine hata hajawahi kuahidiwa kuolewa

Tabia? Sura? Uzuri? Urembo? Umbo? Mwonekano? Tabasamu? lugha? Uaminifu? nini hasa?
 
Mbona umetuuliza swali ila naina content unamzungumzia mtu mwingine.
Au Bangi haijanitoka.
 
Back
Top Bottom