Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,647
aisee nijinyonge kisa he! HaiwezekaniMapenzi at work
Kaongeza tatizo, badala ya kutatua. Ahera inamngoja.
mkuu Lukolo waambie tulisha acha hiyo habari.Acha zako na wewe, kwani huyo wa Mbeya ni Mnyalu? Na yule aliyejinyonga guest Dar es salaam alikuwa Mnyalu? Acheni hizo bwana, wanyalu tulishaacha siku nyingi hizi habari za kujinyonga.
sad news: "kutoka chuo kikuu kishiriki cha ushirika
na stadi za biashara moshi (muccobs)...mwanafunzi
mwaka wa tatu ba-mfed (microfinance and
enterprises management) samson mbena, aka sam
timbe kutoka mbeya city amefariki dunia baada ya
kujinyonga siri kubwa yatawala kifo chake........rip sam" poleni sana....
Acha zako na wewe, kwani huyo wa Mbeya ni Mnyalu? Na yule aliyejinyonga guest Dar es salaam alikuwa Mnyalu? Acheni hizo bwana, wanyalu tulishaacha siku nyingi hizi habari za kujinyonga.
Majina siku hizi siyo utambulisho, maana sasa hivi kuna akina Mgaya wa Msoma na wengine wa Tanga, kuna akina Matonya wagogo na wengine wahehe, kuna magoha wagogo na wengine wahehe. Kwa hiyo yeye kuwa mbena hakumpi justification ya kuwa mnyalu. Utaratibu wa kujinyonga wanyalu tulishaachana nao bwana. Sioni wanyalu wanaojinyonga siku hizi.Aisee hata mie Mnyalu tena wa kalenga, Unyalu si kwa kutoka wapi soma jina lake. Hata kama wapo wengine sie tumezidi Lukolo.
Majina siku hizi siyo utambulisho, maana sasa hivi kuna akina Mgaya wa Msoma na wengine wa Tanga, kuna akina Matonya wagogo na wengine wahehe, kuna magoha wagogo na wengine wahehe. Kwa hiyo yeye kuwa mbena hakumpi justification ya kuwa mnyalu. Utaratibu wa kujinyonga wanyalu tulishaachana nao bwana. Sioni wanyalu wanaojinyonga siku hizi.
eeeh!!kwa hiyo majibu ya dr ndo yamemtoa!!!wakishachukua majibu kwa dr, huwa wanajikolimba! rip!