Majina siku hizi siyo utambulisho, maana sasa hivi kuna akina Mgaya wa Msoma na wengine wa Tanga, kuna akina Matonya wagogo na wengine wahehe, kuna magoha wagogo na wengine wahehe. Kwa hiyo yeye kuwa mbena hakumpi justification ya kuwa mnyalu. Utaratibu wa kujinyonga wanyalu tulishaachana nao bwana. Sioni wanyalu wanaojinyonga siku hizi.
Mgaya, matonya, magoha ni sawa lakini Mabena labda wewe unawajua, kwa hiyo utambulisho ni mahali mtu anaishi kama mbeya, Nilikuwa na ndugu yangu Mnyalu kama mimi akawa anasema wahehe siku hizi hatujinyongi bwana amini usiamini week mbili baadaye alijiua kwa kujichoma na chupa ya beer na kufa akiwa guest ilituhuzunisha sana, najua wewe haitakuwa hivo.