Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Ila
Ila kuna madingi walikua watata si mchezo, na wengine wanazeeka hivyohivyo hadi leo. Hapo jamaa alipopewa ngumi nimecheka hatari.

Ila pia nafkiri vijana wakati wa makuzi pale na balehe, ile hali ya kupiga piga nondo, wengi tulikua tunaona mkono tuko fiti kumbe skills za kuzichapa ni chache, hapo ndio kasheshe hutokea mtu unapokutana na mshua aliyefiti.
 
Nikiwa na content yangu ambayo nataka kuiwasilisha, napendaga kuiweka katika namna ambayo hata mtu mvivu atalazimika kusoma. Maisha yanaboa, nikikusimulia life events zangu ktk namna ya kuboa, utaboreka zaidi

Tunaishi kujifunza.
Hauna baya mwamba!
 
Analyse Mzee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank?....

Hichi kipande nimecheka sana, bado naitafakari hiyo tank kama ni Kiboko, Simtank or?
Zigo lilikuwa zigo kweli. We siunawajua mishangazi ilivyo. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Eti pua za namna ile uliziona wapi kwingine[emoji1787]
Akiyanani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]


Nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pep
Heaven Sent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…