Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

.... Unajua katika kipindi chote cha msoto, sio kwamba sikuwa na mahusiano, la, yalitokea mahusiano mengi tu japo hayakudumu muda mrefu kama ya yule Maza. Hii ilitokana na kutotulia sehemu moja muda mrefu, lakini pia sababu nyingine kubwa ni shimo aliloacha yule Maza. Kila niliyekuwa nakutana nae alikua hatoshi, anapwaya. Huku kujuta ninakojuta sasa, kulianza baada ya yeye kufahamika home na Mimi kurudi nyumbani. Lakini kabla ya hapo nilikua namkumbuka sana, tena Ile ya kumkumbuka then una wish angekua karibu yako. Nahisi wanaosemaga mapenzi yamezaliwa Tanga, hawapajui uzaramuni. Kiufupi yule Maza alikuwa kwenye akili yangu, na hata nilipofahamu kuwa mimba haikutoka na alijifungua salama, nilijihisi furaha.

Unajua mwanamke akiwa hataki kusex, hata umlazimishe vipi ni ngumu kunyanyua hisia zake, sana sana utaishia kumuumiza maana mwili haupo tayari. Ila mwanaume hata uwe umechoka kama punda, mwanamke anaweza kukufanya mwenyewe kwa hiari yako usahau uchovu wako, then ushughurike. Na yeye ndio anachagua umalize baada ya muda gani. Kwa ufupi naweza sema kipindi natoka na yule Maza ni kama vile nilikuwa tuition, maana alikuwa ananielekeza kila kitu, mara fanya hivi, weka kwa hivi, hapa fanya kwa hivi, hutakiwi kufanya hiki n.k. Kwa kupitia yeye ndio nilijua kuwa, kwa mwanamke mwanya ni urembo, Ila kwetu wanaume mwanya una kazi tofauti kabisa. Na mwanaume ukiwa na mwanya na kiganja kilichokamilika, basi unaweza kumlidhisha mwanamke yeyote yule chini ya jua.


** ***

Siku niliyofika home, baada ya mapokezi na ukaribisho mama aliendelea kuniuliza habari za huko nitokako, story za hapa na pale. Hapa ndo nikaanza kuhisi Kuna kitu hakipo sawa. Maana maongezi ya mama yalikuwa hayajanyooka, ilikua ni kama mtu anayelazimisha story ili kuzuia jambo fulani lisitokee. Tulivyokuwa wadogo, Mama alikua akitaka tusisinzie kabla ya kula ucku, basi alikuwa anakupa vikazi vya ajabu ajabu, mara kamwage maji, kalete dekio, sogeza hiki, fanya kile ilimradi usisinzie. Basi hii siku niliyorudi story zake ndio zilikuwa za mtindo huo, kuzuia kitu fulani kisitokee, japo sikuwa nakijua.

Kumbe alikua anajaribu kumblock Baba asipate nafasi ya kuongea na Mimi. Kwa ninavyomjua mshua wangu, akiwa na jambo lake sharti lifanyiwe kazi kwanza, so pale hapakutakiwa kukucha hadi nimpe majibu ya maswali yote aliyokuwa nayo, japo mpaka time hiyo sikuwa najua chochote.

Wakati naendelea kupiga story na Mama, mshua uvumilivu ukamshinda, akatukatisha, "Kama mnataka kuzungumza mje tukae sebleni tuzungumze wote, hata mimi huku nina mengi ya kuzungumza". Mama ikabidi amwambie chakula ndio kinamalizikia kuiva, nile, nipumzike, tutaongea kwa urefu asubuhi. Mshua alivyosikia habari za kuongea asubuhi ikabidi aje jikoni na yeye. Mzee wangu huwa haingiagi jikoni, Ila siku hiyo aliingia. Mama akamwambia kama amechoka sana alale, then asubuhi ataongea na Mimi vizuri. Baba akawa mkali "Yani mtu alitaka kuniulia mke wangu alafu nisubirie mpaka asubuhi ndo nimuulize wakati namuona hapa?". Ile kauli ikanishangaza kidogo, alaf nikahisi labda kwavile niliondokaga home bila wao kujua nimeenda wapi pengine ilimpa Mama presha, ndo maana Baba anasema nilitaka kumuua mkewe. Kumbe bhana kile kizaa zaa kilichotokana na yule Maza kuja home, summary ya mshua ni kwamba nilikua na lengo la kutaka kumuua mkewe. Dada ndo alikujaga kunipa story kuwa baada ya yule Maza kuwasusia mtoto na kusepa, ilibidi wao kama familia wajadiliane inakuwaje kuhusu hatma ya mtoto. Mama na Dada wakawa wanasema hawana jinsi, yule mtoto itabidi familia imlee, Mshua akawa anapinga kuwa arudishwe kwa yule Maza.

Ilibidi na kaka zangu wengine waitwe pale home kujadiliana namna gani lile linatatuliwa. Maana Baba alishaamua mtoto arudishwe Dar. Mpaka siku hiyo ya kikao, zilishapita kama wiki mbili tokea yule Maza aondoke, lakini mshua alikua bado hataki kuamini kama nimezaa na yule Maza. Yeye fikra zake ni kwamba nilitia mimba alafu kwa uoga, nikakimbia. Sasa yule aliyekuja na mtoto ni mama wa Binti niliyempa mimba. Baba akawa anawashauri inabidi Mimi nitafutwe, then taratibu zifatwe ili Binti niliyezaa nae akabidhiwe kwetu kihalali. Dada akajiribu kuwaambia kuwa kwa jinsi yule Maza alivyokuwa anaongea nae, ni dhahiri yeye ndio mama wa mtoto. Kaka yangu mkubwa akasema kwa jinsi Dunia ya sasa ilivyo, kuchaguliana mke au mchumba ishapitwa na wakati, kwavile dogo (Mimi) amechagua, huyo ndo shemeji yetu, sioni tatizo juu ya ilo. Kauli za "shemeji", "wifi" na "mkwe" Baba ndio alikua hataki kuziskia kabisa. Mwisho wa kikao, wakaamua Dada akakae nae, mpaka akue kue kidogo then ndo ataenda kuishi pale kwa Babu na Bibi.


* * ****** ***


Mimi nilivyorudi nyumbani, yule mwanangu hakuwepo, alikuwa bado anaishi kwa Dada. Baada ya Mama kushauri niulizwe asubuhi, Baba alikubali. Usiku ule tukaongea habari tofauti kabisa. Kulivyokucha, katika story ndo akaniuliza kama katika movements zangu sijaacha mtoto sehemu, yani alianzia mbali sana, nahisi alitaka kuona nitasemaje. Mimi nikamuelezea tu kuwa nina mtoto wa kiume Dar. Baba akaniambia "Mtoto sio shida, vipi kuhusu mama ake? " The way alivyo uliza tu nikikumbuka na hali ya jana yake usiku, nikahisi kuna kitu akipo sawa. Ikabidi nimuwahi kwa kumwambia ukweli, maana Mzee wetu jinsi alivyo, kwa sisi watoto wakiume, tukikoseaga huwa anatengeneza mazingira ya kupigana. Na ikitokea hiyo chance, bila mama kuingilia, anaweza akakuua.

Wakati naendelea kujielezea, akanikatisha "Hebu ngoja kwanza legend, hivi unajiskia unachokiongea?" Nikashangaa ilo jina la legend. Mshua sasa kujizuia kukaisha, akaanza kutema nyongo. "Hivi unajua yule Maza kama angekua kazaliwa familia ya Mama ako, basi angekua mtoto wa pili kama sio wa kwanza" " Wadogo zake mama ako hakuna hata mmoja anayempata kwa umri", " Hivi ule unene wake ndo ulokuchanganya au?" Mzee aliongea sana, akawa anasema watoto wake wote wamerithi tabia kwake, sijui ilikuaje Mimi nikarithi ujombani. Ile kauli Mama akaamua kuitolea ukimya "Yani ukoo wenu (wa baba) ulivyo na damu kali, Sina hata mtoto mmoja aliyefata kwetu, tena mmeniharibia hadi Binti yangu na pua zenu zisizojua kujificha, tafuta namna nzuri ya kuelewana na mwanao, ujombani hapahusiki". Kauli ya Mama bado kidogo inifanye nicheke, nikajizuia, ila mshua akakiona hicho kitendo. Sijakaa hata sawa, alinivaa mzima mzima, akanipiga kichwa cha kifua. Wote kama tulivyo tukaenda mpaka chini. Sijakaa sawa, akaniweka kichwa kingine cha uso tukiwa pale pale chini, nataka kujiweka sawa, akaniwahi na kabali. Mzee wangu hana pumzi, ila ana nguvu sana za mikono, maana tushapigana nae mara kadhaa. Kitendo cha yeye kuniwahi na kabali, nikajisemea kimoyo moyo, "Leo hapa Mama asipoingilia nakufa". Nilijitahidi kadiri nilivyoweza, Ila wapi. Mama nae baada ya kuona tunapigana, akataka kuja. Kumbe Mzee alishajua anachotaka kufanya, so aliacha kamfungia Mama kwa nje. Mama ametoka jikoni mbio ili aje nje kuamulia, anakuta mlango wa nje umefungwa, zunguka upande wa pili, nako hivyo hivyo. Akasogea dirishani anabwata tu. Mzee alinipiga kabali mpaka nikanya. Alivyoona hali yangu tete ndo akaniachia, then akanyanyuka fasta, akakunja ngumi kwa ajili ya pambano rasmi. Mama analalama "Utaniulia mwanangu" Baba anamjibu "Huyu sio mtoto, alichelewa tu kuzaliwa, acha niende nae sawa". Muda huo Mimi ndo natafuta pumzi maana nilikuwa hoi, faza wala hajali ndo kwanza anarusha ngumi. Alinipiga moja kwenye jicho, sitokaa niyasahau yale maumivu. Ikabidi nianze kujitetea, Ila nilichezea sana vitasa vya tumbo na mbavu. Mzee alipoona pumzi inamuishia, akaanza kutafuta namna ya kunipiga kabali tena ili avute pumzi, nikawa nishamsoma maana ndio ilikua kawaida yake, mkipigana anakuwahi kwanza kwenye pua ili kukukata moto, so nikawa naichunga pua yangu, na yeye anachunga yake. Huku na kule, akanipiga tena kwenye jicho lile lile, sijakaa vizuri,akanipiga mtama then akaniwahi na kabali. Nikaona hapa nisipokuwa makini nakunya tena

Muda huo Mama anahaha tu dirishani, kelele zake zinamezwa na kelele za mifugo. Na eneo letu ni kubwa, majirani wako mbali. Dingi nae ndio kwanza anazidi kukaza mikono......



Narudi kumalizia....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseh
 
...... Mzee wetu alikuwa na kawaida moja, ukitokea msala alafu Mama akaupoza. Hapendagi kumbishia, Ila next time ukiingia kwenye 18 zake atakupa kipigo na cha msala uliopita. So, hiki kipigo kilichokuwa kinaendelea muda huu, ilikuwa ni majumuisho na ule msala wa kuondoka home. Mzee alikua anakaza mikono kadiri anavyokumbuka matukio niliyofanya, ikafika hatua sauti ya Mama nikawa siiskii kabisa, nikaona hapa sasa nakufa. Katika kujitetea ikabidi nimng'ate, nilikaza meno mpaka akaniachia. Kawaida ya mshua akishakuachia, wakati ww unahangaika kuvuta pumzi, yeye anawahi kusimama ili akurushie ngumi za mfululizo. Alivyoniachia tu, sikutaka hata kusubiria, nikatoka nduki, mshua akaunga tela. Tukaanza kufukuzana kuizunguka nyumba. Mama nae kule ndani anafanya kazi ya kuhama madirisha tu, mara yuko dirisha ili, mara lile kutegemeana na sisi tuko upande upi. Round moja tu, Mzee akakaa chini, na Mimi nikatulia upande niliokuwepo kwanza navuta pumzi.

Mzee akaamua kuingia ndani, me nikaenda zangu kuoga then tukarudi kuendelea na kikao Mimi na Yeye. Safari hii Mama hakutaka tuongelee nje tena, tukakaa sebleni. Mama akatuletea chai, tukawa tunakunywa huku tunapiga story sasa.

Mzee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank? Akili yako ilikua wapi?". Nikakosa jibu la kumpa, nikawa mbali kimawazo. Akaendelea tena"Hivi huu ujasiri uliutoa wapi haswa, mbona hufanani na ndugu zako?" Mama akadakia "Hafananii na ndugu zake, anafanana na wewe, inamaana ushajisahau?" Mzee nae akawaka "Walau Mimi (Mshua) nilichukua mtu wa umri wangu" ( Unajua Bi mkubwa wangu nae amejaa jaa, japo ni mdogo kiumri kwa Baba). Mama nae akamjibu " Swala sio kuchukua wa umri wako, kwani wakati unanifata ulijuaga umri wangu, we siuliangalia kilichokuvutia?. Mwanao ashakuletea mkwe, inabidi umkubali tu"

Lile neno mkwe likaonekana kumkera Mzee. Unajua Mama yetu wala sio mtu wa kukaa na kitu moyoni. Muda huu anajibizana na Mzee, Yeye Mama alikua anatabasamu kabisa, Ila Mzee kakunja ndita. Battle ikatoka kwangu, ikahamishiwa kwa Mama, Mzee akaanza kumwambia Mama yeye ndio chanzo cha yote haya. Mshua akamwambia Mama "Nilikwambia tuzae mapema ukawa unasema tusubirie subirie, matokeo yake mtoto alikuwa anakulia kiunoni, huyu kazaliwa akiwa mtu mzima" Unajua katika familia yetu, watoto waliotangulia wote wamepishana miaka miwili miwili kasoro kaka yangu ninayemfuata amenizidi miaka 7. So alichokuwa anamaanisha Mzee ni kwamba hiyo miaka 7 yote ambayo walikuwa wanasubiria, Mimi nilikua naendelea kukua tu, dah [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Anyway, msala ulikuja ukapoa tukaongea kistaarabu, Ila Mzee alikuwa so disappointed. Akawa ananiambia kuwa anastaili kujifunza toka kwangu maana Mimi ni legend, Nina namna zangu za kurun things ambazo hajawahi imagine.

Alinipa ushauri wake kuhusiana na mambo mbali mbali. Ila katika maongezi nae ndio nikagundua kuwa watu wetu wa karibu huwa wanaumizwa sana na mambo ya ajabu tunayofanya. Ile kauli ya mchuma janga ula na wa kwao, ilidhihirika mbele yangu. Sema kwavile ilishatokea hapakuwa na namna. Kutokana na hiki kisanga Mzee wangu ni mara chache sana kuniita jina langu,mara nyingi ananiita legend. Sipendagi akiniita hivyo, Ila Sina namna ya kumzuia, niliyataka. Mara chache chache huwa ananitania kuhusu yule Maza, now days anachukulia as a joke tu. Ananiambiaga nikiamua kuoa, nisisite kuwajulisha. Ila wao hawatonipush maana wanahofia nisije kuwafanyia surprise nyingine

** ********* ****** ***

Tukafunga huo ukurasa kuhusu mtoto na yule Maza. Ndio tukaanza kuongea kuhusu harakati zangu zingine. Alitaka kujua ilikuwaje tukakutana pale Magingo kwenye soko la tangawizi. Nilimuelezea kwa ufupi mizunguko yangu mpaka kufikia ile siku tunaonana, Yeye akiwa kama Boss, Mimi nikiwa kama kibarua..

Nadhani hayo Sina haja ya kuyaongelea hapa, maana nilishayaelezea kwa urefu sana kwenye ule Uzi safari yangu.



** *

Kwa sasa dogo alishatoka kwa Dada anaishi kwa Babu na Bibi yake. Yule Maza sina mawasiliano nae, japo kwasasa anaishi nyumbani kwake Kisarawe. Mpaka now inanipaga ukakasi nikiingia kwenye mahusiano kujielezea kuwa nina mtoto, hasa kuepuka swali la mama yake yuko wapi? Kwanini mliachana? Akirudi je? n.k

So, kwa kifupi sipo nae (maana najua ili swali litaulizwa tu). Dogo hajawahi kumuulizia Mama yake, labda kwavile walitengana akiwa mdogo sana so hakupataga ile bond ya Mama. Yule Maza nilishawahi kutana nae mara moja maeneo ya mawasiliano ubungo, tuliongea mawili matatu kuhusu mwanangu, then kila mmoja akaendelea na safari yake. Namba yake ninayo, pia anayo yangu japo hatuna mawasiliano.Huyu Maza hakuwahi kupata mtoto kabla ya huyu, nashangaa kwanini aliamua kumpeleka home kwetu, nilitarajia angemng'ang'ania kama dhahabu, but haikuwa hivyo.

Anyway, hiyo ndio ilikua story yangu. Until next time,

Regards;

Analyse

RReigns
 
...... Mzee wetu alikuwa na kawaida moja, ukitokea msala alafu Mama akaupoza. Hapendagi kumbishia, Ila next time ukiingia kwenye 18 zake atakupa kipigo na cha msala uliopita. So, hiki kipigo kilichokuwa kinaendelea muda huu, ilikuwa ni majumuisho na ule msala wa kuondoka home. Mzee alikua anakaza mikono kadiri anavyokumbuka matukio niliyofanya, ikafika hatua sauti ya Mama nikawa siiskii kabisa, nikaona hapa sasa nakufa. Katika kujitetea ikabidi nimng'ate, nilikaza meno mpaka akaniachia. Kawaida ya mshua akishakuachia, wakati ww unahangaika kuvuta pumzi, yeye anawahi kusimama ili akurushie ngumi za mfululizo. Alivyoniachia tu, sikutaka hata kusubiria, nikatoka nduki, mshua akaunga tela. Tukaanza kufukuzana kuizunguka nyumba. Mama nae kule ndani anafanya kazi ya kuhama madirisha tu, mara yuko dirisha ili, mara lile kutegemeana na sisi tuko upande upi. Round moja tu, Mzee akakaa chini, na Mimi nikatulia upande niliokuwepo kwanza navuta pumzi.

Mzee akaamua kuingia ndani, me nikaenda zangu kuoga then tukarudi kuendelea na kikao Mimi na Yeye. Safari hii Mama hakutaka tuongelee nje tena, tukakaa sebleni. Mama akatuletea chai, tukawa tunakunywa huku tunapiga story sasa.

Mzee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank? Akili yako ilikua wapi?". Nikakosa jibu la kumpa, nikawa mbali kimawazo. Akaendelea tena"Hivi huu ujasiri uliutoa wapi haswa, mbona hufanani na ndugu zako?" Mama akadakia "Hafananii na ndugu zake, anafanana na wewe, inamaana ushajisahau?" Mzee nae akawaka "Walau Mimi (Mshua) nilichukua mtu wa umri wangu" ( Unajua Bi mkubwa wangu nae amejaa jaa, japo ni mdogo kiumri kwa Baba). Mama nae akamjibu " Swala sio kuchukua wa umri wako, kwani wakati unanifata ulijuaga umri wangu, we siuliangalia kilichokuvutia?. Mwanao ashakuletea mkwe, inabidi umkubali tu"

Lile neno mkwe likaonekana kumkera Mzee. Unajua Mama yetu wala sio mtu wa kukaa na kitu moyoni. Muda huu anajibizana na Mzee, Yeye Mama alikua anatabasamu kabisa, Ila Mzee kakunja ndita. Battle ikatoka kwangu, ikahamishiwa kwa Mama, Mzee akaanza kumwambia Mama yeye ndio chanzo cha yote haya. Mshua akamwambia Mama "Nilikwambia tuzae mapema ukawa unasema tusubirie subirie, matokeo yake mtoto alikuwa anakulia kiunoni, huyu kazaliwa akiwa mtu mzima" Unajua katika familia yetu, watoto waliotangulia wote wamepishana miaka miwili miwili kasoro kaka yangu ninayemfuata amenizidi miaka 7. So alichokuwa anamaanisha Mzee ni kwamba hiyo miaka 7 yote ambayo walikuwa wanasubiria, Mimi nilikua naendelea kukua tu, dah [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Anyway, msala ulikuja ukapoa tukaongea kistaarabu, Ila Mzee alikuwa so disappointed. Akawa ananiambia kuwa anastaili kujifunza toka kwangu maana Mimi ni legend, Nina namna zangu za kurun things ambazo hajawahi imagine.

Alinipa ushauri wake kuhusiana na mambo mbali mbali. Ila katika maongezi nae ndio nikagundua kuwa watu wetu wa karibu huwa wanaumizwa sana na mambo ya ajabu tunayofanya. Ile kauli ya mchuma janga ula na wa kwao, ilidhihirika mbele yangu. Sema kwavile ilishatokea hapakuwa na namna. Kutokana na hiki kisanga Mzee wangu ni mara chache sana kuniita jina langu,mara nyingi ananiita legend. Sipendagi akiniita hivyo, Ila Sina namna ya kumzuia, niliyataka. Mara chache chache huwa ananitania kuhusu yule Maza, now days anachukulia as a joke tu. Ananiambiaga nikiamua kuoa, nisisite kuwajulisha. Ila wao hawatonipush maana wanahofia nisije kuwafanyia surprise nyingine

** ********* ****** ***

Tukafunga huo ukurasa kuhusu mtoto na yule Maza. Ndio tukaanza kuongea kuhusu harakati zangu zingine. Alitaka kujua ilikuwaje tukakutana pale Magingo kwenye soko la tangawizi. Nilimuelezea kwa ufupi mizunguko yangu mpaka kufikia ile siku tunaonana, Yeye akiwa kama Boss, Mimi nikiwa kama kibarua..

Nadhani hayo Sina haja ya kuyaongelea hapa, maana nilishayaelezea kwa urefu sana kwenye ule Uzi safari yangu.



** *

Kwa sasa dogo alishatoka kwa Dada anaishi kwa Babu na Bibi yake. Yule Maza sina mawasiliano nae, japo kwasasa anaishi nyumbani kwake Kisarawe. Mpaka now inanipaga ukakasi nikiingia kwenye mahusiano kujielezea kuwa nina mtoto, hasa kuepuka swali la mama yake yuko wapi? Kwanini mliachana? Akirudi je? n.k

So, kwa kifupi sipo nae (maana najua ili swali litaulizwa tu). Dogo hajawahi kumuulizia Mama yake, labda kwavile walitengana akiwa mdogo sana so hakupataga ile bond ya Mama. Yule Maza nilishawahi kutana nae mara moja maeneo ya mawasiliano ubungo, tuliongea mawili matatu kuhusu mwanangu, then kila mmoja akaendelea na safari yake. Namba yake ninayo, pia anayo yangu japo hatuna mawasiliano.Huyu Maza hakuwahi kupata mtoto kabla ya huyu, nashangaa kwanini aliamua kumpeleka home kwetu, nilitarajia angemng'ang'ania kama dhahabu, but haikuwa hivyo.

Anyway, hiyo ndio ilikua story yangu. Until next time,

Regards;

Analyse
Ahsante sana Legend. Tumeburudika lakini pia tumejifunza.
 
wifi ana madoido sana [emoji23][emoji23]
Eeeeh
FB_IMG_1651962893549.jpg
 
...... Mzee wetu alikuwa na kawaida moja, ukitokea msala alafu Mama akaupoza. Hapendagi kumbishia, Ila next time ukiingia kwenye 18 zake atakupa kipigo na cha msala uliopita. So, hiki kipigo kilichokuwa kinaendelea muda huu, ilikuwa ni majumuisho na ule msala wa kuondoka home. Mzee alikua anakaza mikono kadiri anavyokumbuka matukio niliyofanya, ikafika hatua sauti ya Mama nikawa siiskii kabisa, nikaona hapa sasa nakufa. Katika kujitetea ikabidi nimng'ate, nilikaza meno mpaka akaniachia. Kawaida ya mshua akishakuachia, wakati ww unahangaika kuvuta pumzi, yeye anawahi kusimama ili akurushie ngumi za mfululizo. Alivyoniachia tu, sikutaka hata kusubiria, nikatoka nduki, mshua akaunga tela. Tukaanza kufukuzana kuizunguka nyumba. Mama nae kule ndani anafanya kazi ya kuhama madirisha tu, mara yuko dirisha ili, mara lile kutegemeana na sisi tuko upande upi. Round moja tu, Mzee akakaa chini, na Mimi nikatulia upande niliokuwepo kwanza navuta pumzi.

Mzee akaamua kuingia ndani, me nikaenda zangu kuoga then tukarudi kuendelea na kikao Mimi na Yeye. Safari hii Mama hakutaka tuongelee nje tena, tukakaa sebleni. Mama akatuletea chai, tukawa tunakunywa huku tunapiga story sasa.

Mzee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank? Akili yako ilikua wapi?". Nikakosa jibu la kumpa, nikawa mbali kimawazo. Akaendelea tena"Hivi huu ujasiri uliutoa wapi haswa, mbona hufanani na ndugu zako?" Mama akadakia "Hafananii na ndugu zake, anafanana na wewe, inamaana ushajisahau?" Mzee nae akawaka "Walau Mimi (Mshua) nilichukua mtu wa umri wangu" ( Unajua Bi mkubwa wangu nae amejaa jaa, japo ni mdogo kiumri kwa Baba). Mama nae akamjibu " Swala sio kuchukua wa umri wako, kwani wakati unanifata ulijuaga umri wangu, we siuliangalia kilichokuvutia?. Mwanao ashakuletea mkwe, inabidi umkubali tu"

Lile neno mkwe likaonekana kumkera Mzee. Unajua Mama yetu wala sio mtu wa kukaa na kitu moyoni. Muda huu anajibizana na Mzee, Yeye Mama alikua anatabasamu kabisa, Ila Mzee kakunja ndita. Battle ikatoka kwangu, ikahamishiwa kwa Mama, Mzee akaanza kumwambia Mama yeye ndio chanzo cha yote haya. Mshua akamwambia Mama "Nilikwambia tuzae mapema ukawa unasema tusubirie subirie, matokeo yake mtoto alikuwa anakulia kiunoni, huyu kazaliwa akiwa mtu mzima" Unajua katika familia yetu, watoto waliotangulia wote wamepishana miaka miwili miwili kasoro kaka yangu ninayemfuata amenizidi miaka 7. So alichokuwa anamaanisha Mzee ni kwamba hiyo miaka 7 yote ambayo walikuwa wanasubiria, Mimi nilikua naendelea kukua tu, dah [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Anyway, msala ulikuja ukapoa tukaongea kistaarabu, Ila Mzee alikuwa so disappointed. Akawa ananiambia kuwa anastaili kujifunza toka kwangu maana Mimi ni legend, Nina namna zangu za kurun things ambazo hajawahi imagine.

Alinipa ushauri wake kuhusiana na mambo mbali mbali. Ila katika maongezi nae ndio nikagundua kuwa watu wetu wa karibu huwa wanaumizwa sana na mambo ya ajabu tunayofanya. Ile kauli ya mchuma janga ula na wa kwao, ilidhihirika mbele yangu. Sema kwavile ilishatokea hapakuwa na namna. Kutokana na hiki kisanga Mzee wangu ni mara chache sana kuniita jina langu,mara nyingi ananiita legend. Sipendagi akiniita hivyo, Ila Sina namna ya kumzuia, niliyataka. Mara chache chache huwa ananitania kuhusu yule Maza, now days anachukulia as a joke tu. Ananiambiaga nikiamua kuoa, nisisite kuwajulisha. Ila wao hawatonipush maana wanahofia nisije kuwafanyia surprise nyingine

** ********* ****** ***

Tukafunga huo ukurasa kuhusu mtoto na yule Maza. Ndio tukaanza kuongea kuhusu harakati zangu zingine. Alitaka kujua ilikuwaje tukakutana pale Magingo kwenye soko la tangawizi. Nilimuelezea kwa ufupi mizunguko yangu mpaka kufikia ile siku tunaonana, Yeye akiwa kama Boss, Mimi nikiwa kama kibarua..

Nadhani hayo Sina haja ya kuyaongelea hapa, maana nilishayaelezea kwa urefu sana kwenye ule Uzi safari yangu.



** ** ***

Kwa sasa dogo alishatoka kwa Dada anaishi kwa Babu na Bibi yake. Yule Maza sina mawasiliano nae, japo kwasasa anaishi nyumbani kwake Kisarawe. Mpaka now inanipaga ukakasi nikiingia kwenye mahusiano kujielezea kuwa nina mtoto, hasa kuepuka swali la mama yake yuko wapi? Kwanini mliachana? Akirudi je? n.k

So, kwa kifupi sipo nae (maana najua ili swali litaulizwa tu). Dogo hajawahi kumuulizia Mama yake, labda kwavile walitengana akiwa mdogo sana so hakupataga ile bond ya Mama. Yule Maza nilishawahi kutana nae mara moja maeneo ya mawasiliano ubungo, tuliongea mawili matatu kuhusu mwanangu, then kila mmoja akaendelea na safari yake. Namba yake ninayo, pia anayo yangu japo hatuna mawasiliano.Huyu Maza hakuwahi kupata mtoto kabla ya huyu, nashangaa kwanini aliamua kumpeleka home kwetu, nilitarajia angemng'ang'ania kama dhahabu, but haikuwa hivyo.

Anyway, hiyo ndio ilikua story yangu. Until next time,

Regards;

Analyse

Legend[emoji23][emoji23]
 
Hadi hapo sijaona sababu ya Mzee wako kukuvurumishia masumbwi, labda kwa vile umesema ilikuwa kawaida yenu kupimana ubavu….. pia umekwepa kuelezea vile nawe ulikuwa unampelekea moto au kujihami tu.

Hapo kwenye kimba halafu kabali ikaendelea sitaki kufikiria mbolea ilivyojivuruga kwenye chupi.
 
Yaani 🤣🤣🤣🤣 mishangingi inajua kukamata wanaume.
Yaani kuna lishangingi limoja limeingilia familia yetu kuna siku tulikuwa msibani mama mkubwa akauliza "hivi huyu ni linani mbona hafananinii na sisi wote hapa"
Mishangingi bana inakuwa unique sana
Yanajiamini balaa kama huna confidensi kaa nayo mbali 😂😂😂
 
Hadi hapo sijaona sababu ya Mzee wako kukuvurumishia masumbwi, labda kwa vile umesema ilikuwa kawaida yenu kupimana ubavu….. pia umekwepa kuelezea vile nawe ulikuwa unampelekea moto au kujihami tu.

Hapo kwenye kimba halafu kabali ikaendelea sitaki kufikiria mbolea ilivyojivuruga kwenye chupi.
Sio Mimi tu, hata kwa kaka zangu ilikua hivyo. Kiufupi Mzee alikuwa sio mchapaji bakora sana. Yeye ukizingua anakuita kiwanjani alaf mnazichapa. Tumepigwa sana ngumi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu ulikuwa unakunya kweli?
Mzee siku zote hiyo ndio ilikuwa target yake. Mkipigana lazima ahakikishe umekunya. Siku nyingine ukizingua alaf akawa hajiskii kupigana utamskia anakwambia "We unajifanya kidume, juzi si nilikupiga kabali hadi ukanya? Unaumwamba gani?" Lazima uwe mpole [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom