Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Ile pua mwanangu ulipiga photocopy kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ungeiweka watu wasime stori Kwa vitendo
Hahaha humu siwezi wawekea aisee. Alaf kumbe unanichoraga tu kwenye status zangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Analyse Mzee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank?....

Hichi kipande nimecheka sana, bado naitafakari hiyo tank kama ni Kiboko, Simtank or?
Hata mimi Mkuu. Nimejaribu kupata picha ya litank 😂
Jamaa kaacha historia ya pekee kwenye familia. Legend mwenyewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mpe sana holla mzee mtata
 
Nimecheka kinyama na kwa sauti kubwa kaama fala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…