Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

"Mama analalama "Utaniulia mwanangu" Baba anamjibu "Huyu sio mtoto, alichelewa tu kuzaliwa, acha niende nae sawa".
.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee alikua anakaza mikono kadiri anavyokumbuka matukio niliyofanya,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilitakiwa akutandike siku nzima hadi uzimie
 
zee ananiuliza "Unakunywa pombe?" Nikajibu hapana."Unavuta bangi?" Nikajibu hapana. "Sasa ilikuwaje ukachukua lile tank? Akili yako ilikua wapi?"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

wallahy leo nmechekaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

kila lenye heri kwenye safari yako ya mahangaiko ya dunia
 
Mzee alikua anakaza mikono kadiri anavyokumbuka matukio niliyofanya,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilitakiwa akutandike siku nzima hadi uzimie
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ningezima angepata msala kwa Mama
 
Mzee wako nae itakua alikua mtu wa totoz kinoma na alishafumaniwa mara nyingi ndo maana kwa maza anakua mpole anajua makosa yake
 
Umeandika ili ufurahishe. Acha kushadadia story za wanaume, kwa hasle alizopitia huyu mwamba wewe hata robo hujafikia. " ni mwasilika" ndo takataka gani.

Usiriasi wako peleka kwenye kikao chenu cha familia

Hii story ni nzuri na ina vituko so relax jomba
 
Analyse kwamba ulikulia kiunoni?
ahhahahahahahhahahha NIMECHEKA MPK SIJIELEWI!

daah!
Baba Analyse mi ni fan wake namba 1, namuadmire san huyu mzee.
Msalimie sana mshua , mwambie binti yake wa hiyari anamsalimia.
 
Mzee wangu ni mtu safi sana kuongea nae. Japo Nina cku kama tatu sijaongea nae [emoji28][emoji28]
Babako nampenda mnooo.
Yan niko na picha yangu kichwani hivi Mzee mmoja peace af mtata sana.
mi sipendagi watu wepesi wepesi.
Huyu baba mimi ni role modo wa aina ya nataka mtoto wangu wa kiume awe.
Ntaanza kumfundisha ngumi aiseeeh
 
Ulimtelezesha Mke wa bosi kwenye malumalu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mm nakumbuka nikiwa darasa la tatu nilimtega nikamuangusha mtoto wa Mwalimu,nilikula viboko.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Babako nampenda mnooo.
Yan niko na picha yangu kichwani hivi Mzee mmoja peace af mtata sana.
mi sipendagi watu wepesi wepesi.
Huyu baba mimi ni role modo wa aina ya nataka mtoto wangu wa kiume awe.
Ntaanza kumfundisha ngumi aiseeeh
umfundishe ngumi akudunde mwenyew ukimbilie kumfukuza[emoji16]

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…