Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Analyse tufanye mpango wa kemera na dawati la kuhariri video za haya maandishi. Unaweza kujikuta unaokota senti mbili tatu

Ama unasemaje?
 
Katika uandishi wako unampangilio mzur wa mawazo.. unafanya fanyaje ukaflow vizuri hivyo naomba mbinu au mbwini
Nasimulia kawaida, njia ya moja kwa moja kwa kadri ninavyokuwa nakumbuka. Japo najaribu kuyaweka matukio kwa mpangilio
 
Wand na Bridger nisaidie kuedit heading ili isomeke vizuri.

Sijivunii na Mama wa mtoto wangu
 
Nikiwa na content yangu ambayo nataka kuiwasilisha, napendaga kuiweka katika namna ambayo hata mtu mvivu atalazimika kusoma. Maisha yanaboa, nikikusimulia life events zangu ktk namna ya kuboa, utaboreka zaidi

Tunaishi kujifunza.
Hiki kitu watu wengi hawakijui, na kuna namna ukisimulia utaambulia matusi na kejeli, mara ni ya kutunga na wala hawakupi ushauri kama ulihitajika utaambulia matusi adi unajuta kuwashirikisha life yako.

Kuna watu wana matukio hizi muvi cha mtoto.
 
Hiki kitu watu wengi hawakijui, na kuna namna ukisimulia utaambulia matusi na kejeli, mara ni ya kutunga na wala hawakupi ushauri kama ulihitajika utaambulia matusi adi unajuta kuwashirikisha life yako.

Kuna watu wana matukio hizi muvi cha mtoto.
Nishazoea, naenda nao sawa na tunaelewana. Usipokasirika wanatulia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah Legend[emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka zana aisee, mpaka mzee anakuuliza ulikutana wapi na lile Tank, mzee wako amenifurahisha sana
 
Alaf sio kusema ni mbovu hapana. Mimi mwili wangu ni mdogo, alaf yeye ni mnene na amepanda hewani, alafu mweupe. So mtu yeyote ukimwambia nilikuwa napush ule mwil, ni ngumu kuamini. [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…