Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Next time decoy ziwe za kutosha[emoji23][emoji23]
Anyway Apostle umekaa kimya sn nowadays
 
Hii story yako ilinifuraishaga Sana.Hasa pale mamako alibosema we sio mtoto ilikua unakulia kiunoni.Na ule ukunga alopiga mama.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Heri ya pasaka.
 
Noma saanaa mwaka 2022 nilikuwa bize nakitu gani? Mbona nyuzi Bora kabisaa zilinipita.



Kudos bwana legend analyse.
 
Analyse umeniua kwa kucheka walai...mbona hukunitag jamani huu uzi??
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Ungempa tu mkuu, au hukumpenda?
[emoji16][emoji16]

Sikua na mpango wa kusettle, wa kulea mimba/mtoto at that time.

Ila ndo lilijipanga kuhakikisha linanikamata kwa style hyo. Kwa kweli Mungu aliniokoa tu.

Lina watoto 2.
 
Analyse umeniua kwa kucheka walai...mbona hukunitag jamani huu uzi??
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Uzi wa kitambo sana huu mbona ? πŸ˜…πŸ˜…
 
[emoji16][emoji16]

Sikua na mpango wa kusettle, wa kulea mimba/mtoto at that time.

Ila ndo lilijipanga kuhakikisha linanikamata kwa style hyo. Kwa kweli Mungu aliniokoa tu.

Lina watoto 2.
Mbona unamuongelea vibaya sasa? Kwani siulimpenda mwenyewe ?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ndo nimeuona aisee nimecheka sana....
Natamani uandike kila siku...
Hongera sana kwa uandishi usio boa...
Karibu mtani. Walau itakusaidia kusahau habari za kina Jobe kwa muda πŸ˜…πŸ˜…
 
Pambaneni na sare yenu kwanza msijisahaulishe mjue na nyie hamna striker wa kueleweka mnategemea viungo..ohoooo 🀣 🀣 🀣
Sisi tunaingia semi bila utata πŸ˜…
 
Uzi unafurahisha Sana huu....πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…