Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

Waafrika banaa.., kumbe hata hao wanaotuaminisha kuwa ni matajiri huwa wanagombea urithi?!

Pesa ni Sabuni ya Roho Mama, maneno mengine ni ya kujaza makaratasi na pages za mitandao ya kijamii.

Hakuna cha tajiri wala billionea wote hakuna lolote.

Tena Kama ulikua hujui, , matajiri ndiyo walafi na wafia pesa.
 
Duhh kumbe the domo hana mbegu zake kwa akina nillah na tiii
 
"Kilio Cha Mtu Mzima," R.I.P. Moshi William. Huu wimbo ni sahihi kabisa kwa haya wafanyayo nduguze Ivan.
 
Pesa ni Sabuni ya Roho Mama, maneno mengine ni ya kujaza makaratasi na pages za mitandao ya kijamii.

Hakuna cha tajiri wala billionea wote hakuna lolote.

Tena Kama ulikua hujui, , matajiri ndiyo walafi na wafia pesa.
Pamojah!
Nlichomaanisha hakuna uhalisia ktk maneno na vitendo vyao.
 
Mzee amesisitiza kuwa hagombanii mali yeye kwao utajiri uko ndani ya damu, na amekataa katakata hamtambui Zari na hana haki ya chochote kile manake alienda kuzaa nje naalikua ametolewa mahari...Zari si mjane wa mwanangu na simuhesabu.
Huyu mzee yupo sawa kabisa zari ni mbwa koko ana tamas kisenge
 
Hivi kama sisi tungekuwa ni ndugu wa Ivan, tungekuwa tayari kumuacha mtalaka wa ndugu yetu ambaye tayari ana mji mwingine na mume mwingine arithi mali za ndugu yetu?

Wàtafute manager/trustee wa hizo mali (si huyo mwanamke) aweze kuzitunza kwa niaba ya hao watoto mpaka watakapoweza kujitegemea.
 
kunauseme unasema ukisikia akili za kuambiwa changanya na zako...
tambua huyo alie leta hiyo habari (MANGE) kambiwa tu.
 
Tunapenda kuwa wasemaji na tunajivika uwana sheria muda utafika upande wetu
 
Pamojah!
Nlichomaanisha hakuna uhalisia ktk maneno na vitendo vyao.
Yeah, Nilikuelewa vizuri nami nikaongezea kusema , tajiri ndiye mlafi na mfia pesa wa kwanza.

Maana, Tajiri yeye yuko hivi. Akikuona una 1000=/ huku yeye ana 19,000/= yaani anatamani ile buku yako akupokonye ili yeye aweze kuwa na buku ishirini kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…