Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

Kama wewe ndio ungekuwa huyo Mwanamke ungekubali?!
 
Kama wewe ndio ungekuwa huyo Mwanamke ungekubali?!
Uliamwacha mwanaume, amefariki unarudi kutafuta nini? Kama kuna alichoacha angekifuata wakati Ivan akiwa hai. Zari atunze mji wake na mume wake mpya (Diamond).

Hivi kama una mke ndani halafu unaona anaenda kugombea mali za mtalaka wake unajisikiaje?

Lakini kwa vyovyote vile, warithi hasa wa mali ya Ivan ni watoto.
 
Mzee amesisitiza kuwa hagombanii mali yeye kwao utajiri uko ndani ya damu, na amekataa katakata hamtambui Zari na hana haki ya chochote kile manake alienda kuzaa nje naalikua ametolewa mahari...Zari si mjane wa mwanangu na simuhesabu.
mkuu umeelewa hiyo lugha au umebandua kutoka kwa Mange
 
Mali yako ni ile uliyoitumia ktk njia nzuri impendezayo Mungu, lea yatima, toa sadaka maana siku ukifa ndivyo vitakufaa tu maana utakayoacha hapa duniani itakua fitna, ndugu watagombana na hata kuuana Wanaume wenzangu nafikiri tutajifunza kitu hapa kutokana na aina ya wanawake tulionao sasa, siku hiz mwanaume Ukiondoka mwanamke anakalia mali zako zote bila kujali kama kuna wazazi wako na hata jamaa ambao wana haki zao ktk mali uliyochuma, kama mwanaume una mali na wazazi wako wapo ni vyema ukawawezesha mapema maana ukiondoka watabakia wakiwa huku mali zako zikitawanywa, nasema haya maana nimejionea mengi sana ktk mirathi mingi
 
Ila sie ngozi nyeusi huwa tuna kawivu flani hivi kaasili hasa ndugu yako wa kiume anapofariki akiwa kijana alafu linapokuja suala la mali za watoto ziwe chini ya wanamwamke (wengi kichwani wanaweka "mwanamke mwenyewe kijana akiolewa itakuaje" wanasahau mwanamke huwa hakimbii watoto labda wachache sana hufanya hivyo)
 
Reactions: SMU
Yaani unaweza kuokota panga ikamfyeka mtu miguu, mtu kakuacha mpaka umekufa ndio anarejea kusaka pesa daadek, Hya maisha haya wanaume tujifunze jitu kama Zari linaonekana roho mbaya sana jamaa yupo ktk frizzer wao wanakomaa na mali? Mungu tusaidie na utukumbushe kutumia vyema mali zetu maana kitakachokufaa siku ukifa ni kile kilichotolewa ktk njia yako
 
Diamond Plutniumz wasije wakakufanyia kitu mbaya..... Sijui moyo wako uko normal kwenye beat zake
 
Wakati mwingine unaweza kuandika wosia na bado mijitu iliyobaki ikataka kuuvunja huo wosia ili inufaike yenyewe hata kama haipo kwenye wosia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kazi kweli kweli...
 
Familia zetu nyingi bado zimeegemea kwa ukoo wa baba. Kwa hivyo hata hao watoto pengine ndugu mojawapo wa Ivan atawachukua au ndugu wanaweza kuamua kugawana. Angekuwepa baba wa Ivan pengine wangekaa kwa babu yao. Na pengine suala hili linakuwa gumu zaidi kwa sababu Zari tayari kaolewa na mwanaume mwingine.

So issue kama unavyosema, ndugu wa Ivan pengine watajiuliza wamwache Zari achukue mali za ndugu yao ampelekee Diamond?
 
Sasa mbona huyu aliwakimbia zamani sana watoto wake mpaka akaenda kuzaa wengine nje, ila kama kuna kitu zari anajilaum kwa sasa ni kitendo cha kuzaa tiffa na nillan maana angekuwa hakuwazaa labda kidogo angekuwa na nguvu ya kupata urithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…