Mila za waafrica hamzujui uondoke ukaolewe huko, alafu urudi useme nina changu hapa,hupati kitu wanahofia utaenda kutapanya mali za ndugu yao na mwanaume mwingine.Hata hapa Tanzania ufiwe tu na mume alafu wakuone unaingiza mwanaume kwenye nyumba ya ndugu yao unatimuliwa.