Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

Hivi kama sisi tungekuwa ni ndugu wa Ivan, tungekuwa tayari kumuacha mtalaka wa ndugu yetu ambaye tayari ana mji mwingine na mume mwingine arithi mali za ndugu yetu?

Wàtafute manager/trustee wa hizo mali (si huyo mwanamke) aweze kuzitunza kwa niaba ya hao watoto mpaka watakapoweza kujitegemea.
Well said
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mila za waafrica hamzujui uondoke ukaolewe huko, alafu urudi useme nina changu hapa,hupati kitu wanahofia utaenda kutapanya mali za ndugu yao na mwanaume mwingine.Hata hapa Tanzania ufiwe tu na mume alafu wakuone unaingiza mwanaume kwenye nyumba ya ndugu yao unatimuliwa.


Duuuuuuh,

Mbona sasa, wanaume akifiwa na mke baada ya siku mbili tu tayari analeta "kigoli" na bado anadunda au yeye pekee ndiye mwenye "genye"
 
Back
Top Bottom