Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sadaka ni tenda la kiimani la kiroho .. Sadaka haitolewi kwenye nyumba za ibada tuu.. Hizi zenye imani juu ya Mungu moja na dini zake
Sadaka pia hutolewa kwa miungu
Sadaka pia hutolewa na wapagani
Sadaka pia hutolewa kwenye vilinge vya mambo ya giza
Sadaka pia hutolewa kwa masanamu
Sadaka pia hutolewa kwa shetani
Blla kujali ni aina gani ya sadaka, ama ni kwa imani gani ama inatolewa kwa nani.. Sadaka ina sehemu yake rasmi na pekee ya kutoka.. Nayo inaitwa madhabahu
Sadaka haina mwakilishi
Sadaka haitumwi kwa njia ya mtandao.. Mhusika mtoaji ndiye anyepaswa kwa miguu yake asogee madhabahuni kwa miguu yake na kwa mikono yake atoe/aweke sadaka yake kwenye chombo maalum na rasmi kwa kazi hiyo tuu
Waendao kwa waganga wanalijua hili. Ukifika pale unawekewa chombo utoe ulicho nacho.. Hupangiwi
Huku kwenye imani zetu na hata kwa waganga ukishawekewa namba ya kutuma sadaka jua umeliwa
Katika sadaka kuna makundi mawili makubwa
Sadaka mfu
Sadaka hai
Sadaka mfu ni zipi?
Ni sadaka zisizo na faida, zisizo na matokeo, zisizo na baraka
.Sadaka za kutuma kupitia mitandao
.Sadaka zitokanazo na chenchi za pombe
.Sadaka zitokanazo na malipo haramu kama mauaji, rushwa nk
. sadaka za mafarisayo.. Kumbuka sadaka ni tendo la siri
Katika hilo kundi la sadaka mfu. Kuna sadaka zenye kasoro ama ambazo hazijatimia.. Ni zipo hizo?
Chocolate chenye kasoro hakifai kutolewa kama sadaka
Mganga hapokei kuku zezeta haya ya kufugwa
Mchawi hachukui noti mbovu hasa iliyopungua kipande.. Mchawi harogi mlemavu
Kwenye imani za kishetani.. Kuhani hulala na wanawake vigoli tuu..
CC: Shimba ya Buyenze
Inaendelea
Sadaka pia hutolewa kwa miungu
Sadaka pia hutolewa na wapagani
Sadaka pia hutolewa kwenye vilinge vya mambo ya giza
Sadaka pia hutolewa kwa masanamu
Sadaka pia hutolewa kwa shetani
Blla kujali ni aina gani ya sadaka, ama ni kwa imani gani ama inatolewa kwa nani.. Sadaka ina sehemu yake rasmi na pekee ya kutoka.. Nayo inaitwa madhabahu
Sadaka haina mwakilishi
Sadaka haitumwi kwa njia ya mtandao.. Mhusika mtoaji ndiye anyepaswa kwa miguu yake asogee madhabahuni kwa miguu yake na kwa mikono yake atoe/aweke sadaka yake kwenye chombo maalum na rasmi kwa kazi hiyo tuu
Waendao kwa waganga wanalijua hili. Ukifika pale unawekewa chombo utoe ulicho nacho.. Hupangiwi
Huku kwenye imani zetu na hata kwa waganga ukishawekewa namba ya kutuma sadaka jua umeliwa
Katika sadaka kuna makundi mawili makubwa
Sadaka mfu
Sadaka hai
Sadaka mfu ni zipi?
Ni sadaka zisizo na faida, zisizo na matokeo, zisizo na baraka
.Sadaka za kutuma kupitia mitandao
.Sadaka zitokanazo na chenchi za pombe
.Sadaka zitokanazo na malipo haramu kama mauaji, rushwa nk
. sadaka za mafarisayo.. Kumbuka sadaka ni tendo la siri
Katika hilo kundi la sadaka mfu. Kuna sadaka zenye kasoro ama ambazo hazijatimia.. Ni zipo hizo?
Chocolate chenye kasoro hakifai kutolewa kama sadaka
Mganga hapokei kuku zezeta haya ya kufugwa
Mchawi hachukui noti mbovu hasa iliyopungua kipande.. Mchawi harogi mlemavu
Kwenye imani za kishetani.. Kuhani hulala na wanawake vigoli tuu..
CC: Shimba ya Buyenze
Inaendelea