johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msimamo ndio huo kwamba kila Mtu ashinde mechi zake Kati ya SADC na EAC
Ikumbukwe Tanzania ni mwanachama wa SADC na EAC na tunamuunga Mkono Raila Odinga
Source Citizen TV
Mlale unono 😀
Ikumbukwe Tanzania ni mwanachama wa SADC na EAC na tunamuunga Mkono Raila Odinga
Source Citizen TV
Mlale unono 😀