SADC summit calls Rwanda and Uganda to consider negotiating with all negative forces

SADC summit calls Rwanda and Uganda to consider negotiating with all negative forces

haha hahaha aha wamekuamsha ...unajulikana wewe na siasa zako na huna jipya,ndugu zako FDLR mihogo imekwisha kawasaidie!

Koba ulikuwa umejificha wapi sijakusikia siku nyingi sana, bado upo California ya Kigali.Nilikuwa nimeshasahau ule msemo wako wa actually Rwanda is doing fine and actually Kagame is doing fine.
 
i hate tutsi because of this son called kagamelisation( utusilisation)

Watutsi siyo wote wabaya, wabaya ni wale wa jamii ya Wahima ambao ndio akina Kagame na M7. Ndiyo hao wenye kuota ndoto za mchana pasipo kulala eti wanataka waunde Tutsi-hima empire itakayojumuisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, DRC, Burundi, CAR. Batutsi -bahima we tell you, you are too late!
 
Watutsi siyo wote wabaya, wabaya ni wale wa jamii ya Wahima ambao ndio akina Kagame na M7. Ndiyo hao wenye kuota ndoto za mchana pasipo kulala eti wanataka waunde Tutsi-hima empire itakayojumuisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, DRC, Burundi, CAR. Batutsi -bahima we tell you, you are too late!

Kwa taarifa yako wahima ni watusi pure, watusi wamegawanyika katika koo kwa hiyo wahima ni koo iliyoko ndani ya watusi
 
Kwa taarifa yako wahima ni watusi pure, watusi wamegawanyika katika koo kwa hiyo wahima ni koo iliyoko ndani ya watusi
Comment yangu haipingani na maelezo yako. Hata mimi nafahamu hivyo. Watutsi wamegawanyika katika koo tatu, namely:
1. Abahima (Wahima) ndiyo akina Kagame na M7 wenye ndoto ya alinacha ya kuunda Tutsi-hima empire
2. Abezi
3. Abatare
Mkuu hapo upo????
 
Comment yangu haipingani na maelezo yako. Hata mimi nafahamu hivyo. Watutsi wamegawanyika katika koo tatu, namely:
1. Abahima (Wahima) ndiyo akina Kagame na M7 wenye ndoto ya alinacha ya kuunda Tutsi-hima empire
2. Abezi
3. Abatare
Mkuu hapo upo????

Nimekusoma, upo vizuri sana
 
Rush to hell
Ben ila hii dunia haiko fair kabisa..!! Sijajua 1994 wakati wa Genocide ulikuwa na umri gani, lakini dunia nzima waliipotezea Rwanda kama ilivyo Somalia leo, Tanzania tulishtuka kwamba ile ilikuwa ni GENOCIDE baada ya kuona maiti zinaingia Mto Kagera mpaka Ziwa Victoria!! Hatukufanya chochote ndugu yangu kuzuia ile GENOCIDE!! Kagame na Bizimungu na RPF yao ndio walioingilia kati na kuimaliza ile GENOCIDE!! Na ukweli ni kwamba Wanajeshi wa Kihutu ndio walioitungua ile ndege, kwa sababu kwa muda mrefu walishataka kuwaua watutsi lakini Rais Habyarimana alikuwa anawazuia ndio maana waliamua wamuue yeye kwanza ili azma yao itimie!! Wale wakuu wa vyombo vya usalama (Mkurugenzi Mkuu wa Intelijensia na CDF) kwa sababu walikuwa wanajua, na walikuwa wote Dar kwenye kikao cha usuluhishi, hawakupanda ile ndege!! Wale wauaji waliokimbilia DRC Jumuia ya Kimataifa including UN hawakufanya jitihada za kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya Dola!! Mwisho, Kabila Senior alisaidiwa na Rwanda na Uganda kuingia madarakani...tatizo alivunja makubaliano yao (MoU)!! The issue is very complex..lakini kwa Rwanda ilipokuwa na walipo sasa hivi.. hata Tanzania hatutaweza kufikia kwa tawala hizi zinazo ng`oa watu kucha na meno!!
 
Back
Top Bottom