Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mpaka sasa nchi wanachama wa jumuiya ya kikanda ya kusini mwa Afrika, SADC imepoteza mawaziri wake kumi ndani ya wiki mbili huku Zimbabwe na Eswatini zikiongoza kwa kila moja kupoteza mawaziri watatu.
SADC inajumisha nchi 16 ikiwemo Tanzania, majirani ugonjwa umetamalaki na ni ugonjwa unaosambaa kwa haraka huku kirusi tofauti kidogo kikiwa kimeanzia Afrika Kusini kinawaumiza kichwa wanasayansi, sisi tuna mpango gani? Watu wenye umri mkubwa ni muhimu sana kwa Taifa ikiwemo uzoefu na baadhi utaalam wao kuwa adimu nchini, tumejipangaje kwani wako kwenye 'risk' kubwa ya ugonjwa huu?
=> Sadc loses ten cabinet ministers to Covid-19 in two weeks
SADC inajumisha nchi 16 ikiwemo Tanzania, majirani ugonjwa umetamalaki na ni ugonjwa unaosambaa kwa haraka huku kirusi tofauti kidogo kikiwa kimeanzia Afrika Kusini kinawaumiza kichwa wanasayansi, sisi tuna mpango gani? Watu wenye umri mkubwa ni muhimu sana kwa Taifa ikiwemo uzoefu na baadhi utaalam wao kuwa adimu nchini, tumejipangaje kwani wako kwenye 'risk' kubwa ya ugonjwa huu?
=> Sadc loses ten cabinet ministers to Covid-19 in two weeks