Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Hakuna majani ya kujifusha huko. Waamue kwa Mfalme JUHA wa NYUNGU.Zimbabwe wamepoteza wanne tayari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna majani ya kujifusha huko. Waamue kwa Mfalme JUHA wa NYUNGU.Zimbabwe wamepoteza wanne tayari!
say it againWawatafute sasa
Safi kabisa kazi na kifo vyote sawa. Hii ni kwa wale hayajawafika katika familia zao au majuhaMawaziri pigeni kazi hakuna corona, msilete visingizio, huu mwaka sio wa raha!
Sijakuelewa mkuuNatamani itokee mjengoni kuwafungua masikio watu dhidi ya kiburi dhuluma, wizi, ubinafsi ,unafiki na uzandiki kuharibu umoja na ustawi wa taifa letu.
Mpaka sasa nchi wanachama wa jumuiya ya kikanda ya kusini mwa Afrika, SADC imepoteza mawaziri wake kumi ndani ya wiki mbili huku Zimbabwe na Eswatini zikiongoza kwa kila moja kupoteza mawaziri watatu.
SADC inajumisha nchi 16 ikiwemo Tanzania, majirani ugonjwa umetamalaki na ni ugonjwa unaosambaa kwa haraka huku kirusi tofauti kidogo kikiwa kimeanzia Afrika Kusini kinawaumiza kichwa wanasayansi, sisi tuna mpango gani? Watu wenye umri mkubwa ni muhimu sana kwa Taifa ikiwemo uzoefu na baadhi utaalam wao kuwa adimu nchini, tumejipangaje kwani wako kwenye 'risk' kubwa ya ugonjwa huu?
=> Sadc loses ten cabinet ministers to Covid-19 in two weeks
Mother fantasay it again
Mgemsikiliza vizuri kauli ya mkewe Bill Gates ndio mgeg'amuwa genge hili la Bill Gates lina malengo gani ya kiwenda wazimu - bahati nzuri utabiri wa Melisa Gates haukuenda vizuri kama walivyo panga/fikilia - ndio maana wazungu wengi walishangaa kwanini Waafrica hawafi kwa wingi kama ilivyo tegemewa, sasa ndio wakabuni kutujia na plan "B" ili watumalize kijumla, kama bado mnafiri eti sijui ni hii second wave ambayo ni mutant virus za COVID-19, you are dead wrong.Virusi vya kwanza walivitengenezea kwao wakaona havitusumbui wa Africa wakaona bora waje watengeneze kirusi huku huku Africa.
Yawezekana kweli kirusi hiki kitasumbua sana Africa maana kimetengenezwa huku huku Africa wazungu watu wabaya sana.
Mpaka sasa nchi wanachama wa jumuiya ya kikanda ya kusini mwa Afrika, SADC imepoteza mawaziri wake kumi ndani ya wiki mbili huku Zimbabwe na Eswatini zikiongoza kwa kila moja kupoteza mawaziri watatu.
SADC inajumisha nchi 16 ikiwemo Tanzania, majirani ugonjwa umetamalaki na ni ugonjwa unaosambaa kwa haraka huku kirusi tofauti kidogo kikiwa kimeanzia Afrika Kusini kinawaumiza kichwa wanasayansi, sisi tuna mpango gani? Watu wenye umri mkubwa ni muhimu sana kwa Taifa ikiwemo uzoefu na baadhi utaalam wao kuwa adimu nchini, tumejipangaje kwani wako kwenye 'risk' kubwa ya ugonjwa huu?
=> Sadc loses ten cabinet ministers to Covid-19 in two weeks
Wazungu wakitaka kutumaliza waafrika itakua ni kitu cha siku kadhaa tu then imeisha hio,tunawategemea kwny kila kitu kuanzia elimu,tech,madawa na kila kitu.Mgemsikiliza vizuri kauli ya mkewe Bill Gates ndio mgeg'amuwa genge hili la Bill Gates lina malengo gani ya kiwenda wazimu - bahati nzuri utabiri wa Melisa Gates haukuenda vizuri kama walivyo panga/fikilia - ndio maana wazungu wengi walishangaa kwanini Waafrica hawafi kwa wingi kama ilivyo tegemewa, sasa ndio wakabuni kutujia na plan "B" ili watumalize kijumla, kama bado mnafiri eti sijui ni hii second wave ambayo ni mutant virus za COVID-19, you are dead wrong.
Huu ni mpango mahususi wa Bill Gates akishirikiana na Oxford na washiriki wake kuangamiza idadi kubwa ya watu wa Dunia ya tatu huu ndio mwanzo, kama mnafikiti kupoteza Mawaziri zaidi ya kumi kwenye nchi za SADC ndani ya muda mfupi ni jambo dogo - you better think twice,mimi ninao walahumu ni viongozi wa Afrika walio kubali majaribio ya chanjo za Oxford na washiriki wake kufanyika kwenye Mataifa yao specifically South Africa - angalia mawaziri ambao ni wa nchi jirani wa Afrika kusini wanavyo pukutika, wametangazwa kwa kuwa ni mawaziri, je,raia wa kawaidi wapo katika hali gani? Hali sio nzuri hata kidogo.
Rai yangu Viongozi wa Kiafrika wafanye juu chini kuomba msaada wa Serikali ya China waje kufanya uchunguzi wa kina kuhusu hii variant ya Covid-19 hasa hasa maabara au taasisi zilizo kuwa zinatumiwa kusambaza na kuhifadhi chanjo za majaribio ya chanjo za oxford na washiriki wake - inaonekana sehemu hizo ndio breeding ground za variant ya kovidi whether by design or otherwise - uchunguzi wakina ufanyike.
Wachina waombwe kusaidia jinsi ya ku-deal na hii deadly variant ya COVID-19, the soonest the better, Wachina ujuzi huo wanao sana, watusaidie kabla hawa watu hawajatumaliza kama walivyo kuwa wamepania kuwamaliza Wachina.
Ni Msimu wa Vumbi na Mafua makali.Mpaka sasa nchi wanachama wa jumuiya ya kikanda ya kusini mwa Afrika, SADC imepoteza mawaziri wake kumi ndani ya wiki mbili huku Zimbabwe na Eswatini zikiongoza kwa kila moja kupoteza mawaziri watatu.
SADC inajumisha nchi 16 ikiwemo Tanzania, majirani ugonjwa umetamalaki na ni ugonjwa unaosambaa kwa haraka huku kirusi tofauti kidogo kikiwa kimeanzia Afrika Kusini kinawaumiza kichwa wanasayansi, sisi tuna mpango gani? Watu wenye umri mkubwa ni muhimu sana kwa Taifa ikiwemo uzoefu na baadhi utaalam wao kuwa adimu nchini, tumejipangaje kwani wako kwenye 'risk' kubwa ya ugonjwa huu?
=> Sadc loses ten cabinet ministers to Covid-19 in two weeks
Kwa maisha yalivyo wacha tutangulie mbele za hakiMgemsikiliza vizuri kauli ya mkewe Bill Gates ndio mgeg'amuwa genge hili la Bill Gates lina malengo gani ya kiwenda wazimu - bahati nzuri utabiri wa Melisa Gates haukuenda vizuri kama walivyo panga/fikilia - ndio maana wazungu wengi walishangaa kwanini Waafrica hawafi kwa wingi kama ilivyo tegemewa, sasa ndio wakabuni kutujia na plan "B" ili watumalize kijumla, kama bado mnafiri eti sijui ni hii second wave ambayo ni mutant virus za COVID-19, you are dead wrong.
Huu ni mpango mahususi wa Bill Gates akishirikiana na Oxford na washiriki wake kuangamiza idadi kubwa ya watu wa Dunia ya tatu huu ndio mwanzo, kama mnafikiti kupoteza Mawaziri zaidi ya kumi kwenye nchi za SADC ndani ya muda mfupi ni jambo dogo - you better think twice,mimi ninao walahumu ni viongozi wa Afrika walio kubali majaribio ya chanjo za Oxford na washiriki wake kufanyika kwenye Mataifa yao specifically South Africa - angalia mawaziri ambao ni wa nchi jirani wa Afrika kusini wanavyo pukutika, wametangazwa kwa kuwa ni mawaziri, je,raia wa kawaidi wapo katika hali gani? Hali sio nzuri hata kidogo.
Rai yangu Viongozi wa Kiafrika wafanye juu chini kuomba msaada wa Serikali ya China waje kufanya uchunguzi wa kina kuhusu hii variant ya Covid-19 hasa hasa maabara au taasisi zilizo kuwa zinatumiwa kusambaza na kuhifadhi chanjo za majaribio ya chanjo za oxford na washiriki wake - inaonekana sehemu hizo ndio breeding ground za variant ya kovidi whether by design or otherwise - uchunguzi wakina ufanyike.
Wachina waombwe kusaidia jinsi ya ku-deal na hii deadly variant ya COVID-19, the soonest the better, Wachina ujuzi huo wanao sana, watusaidie kabla hawa watu hawajatumaliza kama walivyo kuwa wamepania kuwamaliza Wachina.
Huku ukitumia Internet na simu ya Mzungu.Slavery mentality!